Hata kama ni MC wa kukodi, kwanini akodiwe mtu aliyefungiwa?

Waambie tff watoe hukumu ili mipaka yake ijulikane otherwise achana na hizo hukumu za kimchongo
 
Hii ndio bongo bna, mtabonga sana lakini ndo ishakua.

Sio strategy nzuri lakini ndiyo nchi yetu.
 
Limekaa vizuri tu. Amefungiwa kujihusisha na michezo. Hajafungiwa kunishughulisha na shughuli zake za kumuingizia kipato, ikiwemo hiyo ya U MC!
 
Chizi hili ,so kama amepewa kazi ya u MC asifanye?
 
Kwa hiyo ukifungiwa na hiyo TFF iliyokaa kisiasa, ndiyo unatakiwa pia kufunguwa nyumbani kwako? Yaani hutakiwi kujitafutia kipato kwa njia halali!

Tutaona hao TFF kama watakuwa na jeuri ya kutoa adhabu juu ya adhabu.
 
Bandia hukumu hapa iliyochapishwa!!??
acha fujo ww vitu usivyovijua unatakiwa ukae kimya kama paka anayesubiri kiporo!
Bandia ndio nini tena? kunywa maji mengi wewe utulize pressure hiyo.
 
Limekaa vizuri tu. Amefungiwa kujihusisha na michezo. Hajafungiwa kunishughulisha na shughuli zake za kumuingizia kipato, ikiwemo hiyo ya U MC!
Kwani huo u MC wake hajaufanyia kwenye shughuli ya mpira?

Utopolo mbona kazi mnayo.
 
Kama hujui unaweza kujamba
 
Wewe nani hadi udai mkataba?

Mmechanganyikiwa yeye kaja kama mc tu.😂
Hii ndiyo dawaa ya kutoa adhabu kwa mihemko. Ingekuwa ni adhabu inayokidhi viwango, naamini hiyu mropokaji, angeiheshimu.

Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Anaamini ameadhibiwa kwa mihemko, hivyo aendelee tu kuwavuruga akili zao.
 
Kwani huo u MC wake hajaufanyia kwenye shughuli ya mpira?

Utopolo mbona kazi mnayo.
TFF haina mamlaka ya kumzuia mtu kujitafutia kipato chake. Ameshasema amekuja kama MC, na aliaga kuondoka.
 
Thus why Karia, Rais Mjinga wa TFF kakimbia Leo na kujifanya yuko bize huko A. Town...

Yanga ni Dubwana Kubwa....Ndg. Kinana anajua....
 
Sasa mnataka aendeshe vip Maisha ? Upumbavu haufai muachane Manala
 
Huyo karia ni mjinga sana
 
Unaumia?
 
TFF haina mamlaka ya kumzuia mtu kujitafutia kipato chake. Ameshasema amekuja kama MC, na aliaga kuondoka.
Mbona hujibu swali, ule u "MC" wake leo pale uwanjani, haukuwa kwenye shughuli ya mpira?

Hapa usilete huruma ya kipato, suala la kipato kama vipi akauze magodoro ya GSM, ila sio kwenye shughuli ya mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…