Hata kama ni mtangazaji wa udaku, this is too much soudy brown

Hata kama ni mtangazaji wa udaku, this is too much soudy brown

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Screenshot_2016-02-11-18-54-18.png
 
Uzuri hajataja chochote hapo ni akili zetu kufanya kazi zaidi
 
Ungetoa maelezo kidogo mumy as unajua JF inazingua sasa hivi kwenye suala la picha.
Soudy brown kwenye instagram yake kapost picha ya wema kaandika "pole dada wema sepetu, mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu akupe moyo wa uvumilivu pia ili utoke hospitali ukiwa salama, inshallah kazi yake Mola haina makosa"
Kisha akaweka na hashtag #INASEMEKANAETI
 
Soudy brown kwenye instagram yake kapost picha ya wema kaandika "pole dada wema sepetu, mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu akupe moyo wa uvumilivu pia ili utoke hospitali ukiwa salama, inshallah kazi yake Mola haina makosa"
Kisha akaweka na hashtag #INASEMEKANAETI
Mhhhhhhh ina maana mimba imetoka au?
Mbona sielewi?
Huyo Soudy hata sijamfollow,hebu ngoja nifuatilie hili.
 
Picha ndio imefunguka sasa,mhhhhhhhh huu ni umbea mpya mujini.
Au ni movie inataka kutoka?Huyo Soudy nae anatafuta kick tu
 
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
kwani kuna nini cha ajabu hapo? una post uso wa mtu, sijui amekasirika, kuna ajabu gani???
inawezekana ilikua ni movie pengine
wema ameamua kuvaa sura ya character wa kwenye movie kiuhalisia kweli,
 
kwani kuna nini cha ajabu hapo? una post uso wa mtu, sijui amekasirika, kuna ajabu gani???
inawezekana ilikua ni movie pengine
wema ameamua kuvaa sura ya character wa kwenye movie kiuhalisia kweli,
Umesoma caption? Maneno chini ya picha?
 
huu ni uongo! wema hajawahi kuwa na mimba! ni mtu wa kutafta kick ili watu wapay attention on her!, nimewatonya hiyo, COOKED!!! STAY TUNED! KWA UBUYUUU!...
 
Back
Top Bottom