Fikra mlazo
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 237
- 37
Na mwingine aitwa MKEGANI, umesahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiger Woods
Nimekuwa nikitafakari dhana ya wazazi wetu waliyotumia kutoa majina yafuatayo kwa watoto wao nimekosa majibu. Mwana JF ambaye una weza kuwa na Ufahamu huo , naomba msaada. Majina hayo waliyo pewa watoto ni kama yafuatavyo.
1. Makaburi
2. Matatizo
3. Chausiku
4. Shida
5. Mapunda
6. Nguruwe
7. Kunguru
8. Sijali
9. Siwema
10. Sikitu
11. Sikuzani
12. Sikujua
13. Siyawezi
TownsendWinehouse
Townsend
Huwa inaboa sana!Na majina ya ukoo ya wazungu wabongo tunapoafanya 1st names zetu?????
Collins
Clinton