Ni kwamba, kamwe usimchukie mtu, kwani chuki hizo hazimuumizi huyo unayemchukia bali hukuumiza wewe mwenyewe. Ndio maana husemwa, Adui mpende tu!
Kuchukia ni part and parcell bana!
Maadui wengine bila kuchukiwa hawaelewi somo, atazidi kukukera!
Kuna utafiti ulifanyika marekani ikathibitisha kuwa kulipiza kisasi kunamsaidia mtendewa kupona kisaikolojia kuliko kitu kingine chochote (hili linahitaji mjadala mpana zaidi). Sasa chuki inapokuja inaonekana unakuwa unasukumwa na subconscious kuchukua hatua pale unapofanyiwa isivyo!
Mtu anapokufanyia vibaya, kumchukia huja "naturally" na haitokani na wewe kuamua. Pamoja na kuwa chuki inakusababishia mateso zaidi, lakini chuki ndo reality. Mara nyingi watu wanajifanya hawajachukia lakini deep inside wako moto. Chuki ni hisia, na kama hisia zingine inaweza kudhibitiwa si kuzuiwa!![/QUOTE]
KipimaPembe una point lakini wakati mwingine unaharibu bana.................... hebu nipe tofauti ya kudhibiti na kuzuia......................
Ndiyo maana binadamu tukawa na nyongo, ukichekea kila kitu ni ishara ya khatari katika maisha. Hata mitume waliichukia dhambi na watenda dhambi sasa iwaje sisi tusichukie! Ukiniudhi mimi nakukata mabao, ukitaka geuza shavu la pili.Kuchukia ni part and parcell bana!
Maadui wengine bila kuchukiwa hawaelewi somo, atazidi kukukera!