Hata kama unajua ni muhimu kujikumbushia nakuletea - basic driving test

Afande Mwita sioni mwanafunzi wa kusomea driving kwa kudoji darasani akipita driving test hapa, bila nyekundu kadhaa imekula kwake 😂
 
Leseni zingetolewa kwa kujibu haya maswali nusu ya wamiliki wa leseni leo hii wangekuwa hawana leseni
Siku hizi lazima kuyajibu. Nimeona wakati ninaenda kurenew leseni yangu kule Oisterbay Dar es Salaam.

Sijajua mikoa mingine kama wanafanya hivyo

Ila wanaulizwa wale wanaoenda kuchukua leseni kwa mara ya kwanza.

Wanao-renew hutakiwa kwenda na cheti cha shule alichosomea
 
Mtihn wa udereva napiga 101 ata kama sijapitia driving school
 
Mwl mpwayungu anacomment wapi sasa. Usafiri wake yeye ni baiskeli
 
1. Kundi la kwanza watu na la pili wanyama.
2. Hauruhusiwi kuegesha katikati ya barabara.
3. Siwezi kuchora kwa sababu hayupo alipelekwa Milembe.
4.Dah! Onasasa umeme umekatika.
5. Nitalirudia umeme ukirudi.
Samahani wameanza kuuza bia, nitaendekea baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…