Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hayo ntakudanganya ๐๐๐Cha msingi yawe mapenzi tuu ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ntakudanganya ๐๐๐Cha msingi yawe mapenzi tuu ๐
Msoto mpaka nlikuendea kwa mganga ila n bc tuu yule mzee n tapeli ๐Hajui msoto unaopitia ๐๐๐
Ni uamuzi wa busara usije fanya huo ujinga, mi mwenyewe kuna mademu jumla wawili walitaka niwafanyie hivyo nikakataa, lakini kumla K bila kumuoa ni dhambi vile vile, so hakuna dhambi uliyoikimbia.Shalom wana jf
Iko hivi, kuna huyu dada ni mzuri sana, nko naye kwenye mahusiano
Kwa muda sasa!!!
Ni boss flani hivi ana kampuni zake kama mbili kubwa
In short ana mawe!!!
Tatizo n kwamba...imekuwa kila nikiwa nafanya naye sex
Akikolea
Anataka nimnanii kinyume na kawaida
Mm nakataa....namwambia siko tayar...labda anipe muda
Hali imekuwa hivyohivyo kila tunaposhiriki
Anadai ..hajawai fanywa hivyo and anataman saaana sana sana kujua
Utamu wake!! Na sio na mwanaune yeyote yule..bali mimi tu!!!
Kuna wakat tukiwa kwenye mechi ..utamuon anaishk anakuw kama anachezesh hapo afu...kama anajarb kuisukumia..mm nakuwa mkali
Binafsi bora nife kuliko kufanya hilo zoezi!!
Nimefikiria kuachana naye KABISA
Pamoja na kwamba ..amekuwa msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu!!
Ameninunulia nyumba....kanifungulia na ofisi kubwa
Na hapa alipo tayari ana ujauzito wangu!!
Sitak zambi za kujitakia mm!!
nahtaj kujua kama uamuz niliouchukua....unamanufaa mkabuwa kuliko madhara...!!!