Hata kama viongozi ni wahuni, huku mnakoelekea sio kuzuri

Kama ni keeling basi ni ujinga mkubwa sana kuzidi ujinga wenyewe.
 
Ally Kamwe no sehemu ya viongozi, Tena ni msemaji rasmi wa yanga. Kama kauli ingetolewa na shabiki wa yanga au mtu yoyote asiyekuwepo kwenye uongozi tusingewalaumu.
 
Mleta mada unajifanya kuongea tu humu. usikute nyie ndio wale huko mtaani/uswazi kwenu asubuhi mnaenda kununua kipande cha sabuni huku umevaa kanga ya mkewako na mswaki mdomoni ukiwa tumbo wazi.
 
Mleta mada unajifanya kuongea tu humu. usikute nyie ndio wale huko mtaani/uswazi kwenu asubuhi mnaenda kununua kipande cha sabuni huku umevaa kanga ya mkewako na mswaki mdomoni ukiwa tumbo wazi.
Unachofanya tunaita spinning. Kwa hiyo mimi ndio nitakuwa tamplate ya ujinga wa wana Uto?
 
Ally Kamwe no sehemu ya viongozi, Tena ni msemaji rasmi wa yanga. Kama kauli ingetolewa na shabiki wa yanga au mtu yoyote asiyekuwepo kwenye uongozi tusingewalaumu.
Umeelewa nilichokisema? Kuna sehemu nimekataa kuwa Ali Kamwe sio msemaji wa Yanga?
Nilichokisema ni kwamba Ali Kamwe hakuna mahali katamka watu wakunje nguo au watu wavae nguo fupi bali alichokisema Ali Kamwe kuwa watu wabebe funguo. Hayo ya kukunja nguo na kuvaa nusu uchi ni utashi wa mashabiki wenyewe. Au kama una clip yeyote ile Ali Kamwe katamka kuwa watu wavae kama Aziz Ki basi ni ruksa kunikosoa kwa kuileta hapa hiyo clip.
 
Hana haja ya kueleza hilo kwa sababu mara zote Uto wanapokuja na Siku ya Mchezaji wana maanisha wavae kama huyo mchezaji. Ndio maana siku ya Max walichomekea. Usijifanye kichwa nguvu
 
Mimi naamini mtu mwenye tabia ya kukaa uchi ni tabia yake tu.walichoambiwa wavae pemsi na sio kaputula fupi..hii inamaanisha hata ukivaa suluwari ukikunja mguu mmoja na kwakua jambo lenyewe la michezo sioni tatizo.

mbona watu wengi tunaona hata wakikimbia mazoezi asubuhi hadi avae nguo ya mazoezi..kwani akikimbia na suti au kanzu miguu itagoma kuinuka!!
Kuna wengine wanakimbia asubuhi wanavaa vikaputura vilaini na mama mtu mzima na limwili la kufungunyuka lakini anaona sawa tu.hii ni tabia ya mtu mwenyewe tu. Na huwezi kumlekebisha.
 
Hana haja ya kueleza hilo kwa sababu mara zote Uto wanapokuja na Siku ya Mchezaji wana maanisha wavae kama huyo mchezaji. Ndio maana siku ya Max walichomekea. Usijifanye kichwa nguvu
Siku ya Max si ilitangazwa na msemaji nini washabiki wanatakiwa kufanya? Au iliandikwa tu siku ya Max pasipo kutolewa muongozo wa nini kifanyike kwenye siku husika? Na hii siku ya Aziz Ki si imetolewa mungozo kuwa watu wabebe funguo? Embu wakati mwingine mjifunze matumizi ya akili katika kuchambua, kufikiria na kutafakari mambo. Wewe hauna tofauti na hao unaosema wanakaa uchi, kwasababu wote mnaakili za sawasawa.
 
Wewe ni choko mbona hukuwahi kuwaambia kina Zuchu ,Mondi, Konde na Gigy money wanapopita mbele za watu wakiwa utupu?..
. Kama mashabiki wa yanga watavunja sheria za Nchi sawa Ila unachoongea wwe ni uchoko.

Wizara na Tff hawajasema ww umetoa wapi haya mamlaka ya kuwahukum mashabiki?. Mbona hatukuona unakemea uusambazaji wa dawa za kulevya chini ya kocha wa Simba?. Pumbavu zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…