Hata kufanana nako hapa wapi nawapi??

Labda wanafanana mkomao wa sura
 
>> hao mapacha wa familia tofauti ila ukoo mmoja [makondeni branch]
 
Wote wamedumaa si unajua kukulia kwenye tabu za maisha ya kijijini.
 
Wanafanana sana isipokuwa kitu kimoja tu..."HAMO the rapper himself" hana shobo ya kumuiga domo kila kitu
 
"kama Mimi ananita nyani,alafu Mimi nimefanana na Harmonise basi na Harmonise nae Nyani.
Kwa hiyo kunakuwa na nyani wawili"-Alisika akisema Kwa hisia bwana Harmorapa
 
Tuulize sisi tuliemuona huyo Rajabu anayejiita Harmonize kipindi anakula ugali wa Muhogo na "chinduli" (Kisamvu) kabla hajaja Dasalama huko na kujiita Harmonize alikuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…