Hata Lissu akishinda, BAWACHA na BAZECHA, na wajumbe wengine wa kamati kuu wasitoe ushirikiano wowote kwa Lissu

Hata Lissu akishinda, BAWACHA na BAZECHA, na wajumbe wengine wa kamati kuu wasitoe ushirikiano wowote kwa Lissu

Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Ww ht ukilala utakuwa unamuota Lissu.
Mhe Lissu shikilia hapo hapo.
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Mkuu, umetuchosha na hizi propaganda zako..

Kwenye maburungutu ya mama abduli wange mtafuta huyu/ consultant.
Professor Nic Cheeseman
Wa University of Birmingham.

Anakitabu chake na kina mbinu nyingi Sana ""how to rig an election without getting caught"
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Watu wengine akili kama ngiri! Nani kakwambia kuwa wajumbe wote wa BAWACHA na bazecha wanamuunga mkono Mbowe?
 
Unahangaika sana na LISSU, kwanini usijikite kwenye mkutano wenu wa CCM Dodoma!?,wewe ni CCM unajulikana. Nyie ndo mmemponza Mbowe mpaka anaonekana kweli ni agent wa CCM. Kila nusu saa unaanzisha thread against LISSU, huna demu/mke?,hushabikii mpira!?,huna hobby yoyote hata kuangalia movie!???,.. wewe ni LISSU tu masaa 24!?...,watu kama nyie mkizeeka mnakuwaga WACHAWI.
 
Unahangaika sana na LISSU, kwanini usijikite kwenye mkutano wenu wa CCM Dodoma!?,wewe ni CCM unajulikana. Nyie ndo mmemponza Mbowe mpaka anaonekana kweli ni agent wa CCM. Kila nusu saa unaanzisha thread against LISSU, huna demu/mke?,hushabikii mpira!?,huna hobby yoyote hata kuangalia movie!???,.. wewe ni LISSU tu masaa 24!?...,watu kama nyie mkizeeka mnakuwaga WACHAWI.
Mie chadema
 
Pole sana.. ndio matokeo.
Naangalia hapa CCM wamepiga kura kwa wakati mfupi sana ya Wasira.

Chadema jana Bawacha watu 300 kura zinahesabiwa siku 3.

Mbowe akiambiwa na timu yake wanafanya uchakachuaji wa kura na rushwa anakataa. Jawabu lake leta uthibitisho!

Lakini kimazingira hapa kunaonekana kuna namna! Kuna shida mahali!
 
Unahangaika sana na LISSU, kwanini usijikite kwenye mkutano wenu wa CCM Dodoma!?,wewe ni CCM unajulikana. Nyie ndo mmemponza Mbowe mpaka anaonekana kweli ni agent wa CCM. Kila nusu saa unaanzisha thread against LISSU, huna demu/mke?,hushabikii mpira!?,huna hobby yoyote hata kuangalia movie!???,.. wewe ni LISSU tu masaa 24!?...,watu kama nyie mkizeeka mnakuwaga WACHAWI.
Awe na demu au mke kwani nj wa kiume huyu?
 
Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.

Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Haiwezi kuwa hivyo. Kwa jinsi Mbowe alivyo, hata akishindwa hatakuwa na kinyongo na Lisu zaidi atakipambania chama na kuwapa ushirikiano kina Lisu.

Tena Mbowe nahis hata yeye mwenyewe anatamani Lisu ashinde ili isionekanw amekataa kugombea.
 
Back
Top Bottom