Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ht ukilala utakuwa unamuota Lissu.Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.
Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Mkuu, umetuchosha na hizi propaganda zako..Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.
Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Watu wengine akili kama ngiri! Nani kakwambia kuwa wajumbe wote wa BAWACHA na bazecha wanamuunga mkono Mbowe?Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.
Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu
Mie chademaUnahangaika sana na LISSU, kwanini usijikite kwenye mkutano wenu wa CCM Dodoma!?,wewe ni CCM unajulikana. Nyie ndo mmemponza Mbowe mpaka anaonekana kweli ni agent wa CCM. Kila nusu saa unaanzisha thread against LISSU, huna demu/mke?,hushabikii mpira!?,huna hobby yoyote hata kuangalia movie!???,.. wewe ni LISSU tu masaa 24!?...,watu kama nyie mkizeeka mnakuwaga WACHAWI.
Naangalia hapa CCM wamepiga kura kwa wakati mfupi sana ya Wasira.Pole sana.. ndio matokeo.
Awe na demu au mke kwani nj wa kiume huyu?Unahangaika sana na LISSU, kwanini usijikite kwenye mkutano wenu wa CCM Dodoma!?,wewe ni CCM unajulikana. Nyie ndo mmemponza Mbowe mpaka anaonekana kweli ni agent wa CCM. Kila nusu saa unaanzisha thread against LISSU, huna demu/mke?,hushabikii mpira!?,huna hobby yoyote hata kuangalia movie!???,.. wewe ni LISSU tu masaa 24!?...,watu kama nyie mkizeeka mnakuwaga WACHAWI.
Haiwezi kuwa hivyo. Kwa jinsi Mbowe alivyo, hata akishindwa hatakuwa na kinyongo na Lisu zaidi atakipambania chama na kuwapa ushirikiano kina Lisu.Mbowe amedhibiti Baraza la Wanawake Chadema na Baraza la Wazee Chadema. Hata kama Lissu alishinda, taasisi hizi zisitoe ushirikiano wowote kwa Lissu.
Pia wajumbe wa Kamati Kuu wa Mbowe wasishiriane kabisa na Lissu