ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mimi na familia yangu tumejadili sana kuhusu nafasi ya Urais na tumekubaliana kwamba lazima Magufuli apumzike ameshatutawala inatosha miaka mitano ni mingi sana na ukizingatia ameshakula maisha serikalini zaidi ya miaka 20.
Hatupo tayari atuongoze tena na sasa tutamchagua Lissu ila na yeye hatutampa miaka kumi akiwa Rais, miaka mitano inatosha kabisa kusafisha serikali kuondoa wale watendaji wabovu waliokaa ofisini na kutoka vitambi maofisa wavivu na wazembe.
Kiufupi huo ndo msimamo wetu, tunapiga maombi lolote litokee lakini sio kukubali kutawaliwa kwa miaka kumi na mtu yoyote.
Hatupo tayari atuongoze tena na sasa tutamchagua Lissu ila na yeye hatutampa miaka kumi akiwa Rais, miaka mitano inatosha kabisa kusafisha serikali kuondoa wale watendaji wabovu waliokaa ofisini na kutoka vitambi maofisa wavivu na wazembe.
Kiufupi huo ndo msimamo wetu, tunapiga maombi lolote litokee lakini sio kukubali kutawaliwa kwa miaka kumi na mtu yoyote.