Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo alishakuwa rais wa tls mwaka mmoja inatosha Sana, ila Kama urais mwingine Hilo halipo popote labda ufipa Kama Kuna cheo Cha urais.Mimi na familia yangu tumejadili sana kuhusu nafasi ya urais na tumekubaliana kwamba lazima Magufuli apumzike ameshatutawala inatosha miaka mitano ni mingi Sana na ukizingatia ameshakula maisha serikalini zaidi ya miaka 20...
Hahahaha!Kuliko Lisu bora hata yule Mzee wa Ubwabwa tule mpunga kwa miaka mitano.
Mzee kawe Unamzidi hadi Mayalla kwa kufagilia. wewe ni no 1 Big Up Kwa harakati.Lissu anatiket ya ubeligiji, October 29 anakwea pipa anatuacha
[emoji23][emoji23][emoji23] We jamaa napitia replies zako unaweza unafiki sijapata onaaa!Wenzangu Wote Mmewapa Miaka 10
Jamani Nami Nipeni [emoji55][emoji2955][emoji58][emoji57][emoji849]
Hizo kura zenu hazitatosha kufanya Lissu awe Rais. Watanzania wengi kwenye mikutano yenu, wapo na Magufuli mioyoni mwao.Mimi na familia yangu tumejadili sana kuhusu nafasi ya urais na tumekubaliana kwamba lazima Magufuli apumzike ameshatutawala inatosha miaka mitano ni mingi Sana na ukizingatia ameshakula maisha serikalini zaidi ya miaka 20....
Najaribu kuwaza kama kweli macho yangu yanaona vizuri au kwa sababu ni usiku? Sitaki kuamini kama hii ni ID ya NdegeJohn. Amedukuliwa huyu. Kama hamyaki kuamini maneno yangu tazameni post na comment za miaka yake miwili mitatu nyuma mtashanga sana.Mimi na familia yangu tumejadili sana kuhusu nafasi ya urais na tumekubaliana kwamba lazima Magufuli apumzike ameshatutawala inatosha miaka mitano ni mingi Sana na ukizingatia ameshakula maisha serikalini zaidi ya miaka 20.
Hatupo tayari atuongoze tena na sasa tutamchagua Lissu ila na yeye hatutampa miaka kumi akiwa Rais, miaka mitano inatosha kabisa kusafisha serikali kuondoa wale watendaji wabovu waliokaa ofisini na kutoka vitambi maofisa wavivu na wazembe.
Kiufupi huo ndo msimamo wetu, tunapiga maombi lolote litokee lakini sio kukubali kutawaliwa kwa miaka kumi na mtu yoyote.
Huyu NdegeJohn ilifika mahali nikawa naamini ni miongoni mwa watu wasiojulikana kwa tabia zake za kutetea maovu na kushambulia sisi tuliokiwa tukikosoa#NiYeye #NiTunduLissu
Unamjua Ndege John au unamsikia? Huyu anaipenda CCM kuliko Makonda, kuliko Majaliwa. Uwe makini na commemt zako.Hizo kura zenu hazitatosha kufanya Lissu awe Rais. Watanzania wengi kwenye mikutano yenu, wapo na Magufuli mioyoni mwao.
Ndege John nakubaliana naye . Magufuli amelelewa kwenye serikali za kifisadi na baraza la mawaziri wa kifisadi zaidi ya miaka 20. Lipi jipya atalifanya ambalo ameshindwa kwa miaka mitanoMnaingiza Familia kwenye Majanga msio yajua.
Wewe ndege JOHN familia yako inakucheki tu. Wamama hawanaga mchezo na maamuzi yao. Subiri sanduku la Kura mkeo akampigie mtu mwingine.
Ndege John naye amekicha cha chenu. Ndege John namjua vizuri alikuwa pro-magufuli kwa nguvu zote. Mtu yeyote anaeongozwa na dhamira ya kizalendo ya kweli hawezi kumuunga mkono magufuli. Amefanya maovu mengi sana.Sio tiketi ya kuichagua CCM aiseee. Chama changu kimeumiza sana watu kwa sababu ya UBABE wa mtu mmoja tu wa chato.
Sahihi kabisaNaiunga mkono familia yako,napenda hawa Wana siasa tuwe tuna wapiga tano nenda tano nenda ikizidi hapo wanatuzoea hawa!!
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Miaka 10 ni kanuni ya ccm. Katiba ni miaka 5Kweli kabisa sidhani kama ingeleta shida me naona ingekuwa vizuri
Huyo huyo mchumia tumbo ndo ananifaa mimiLisu ni mchumia tumbo
Nashukuru ushaona Jiwe hafaiKuliko Lisu bora hata yule Mzee wa Ubwabwa tule mpunga kwa miaka mitano.
Tuseme unapafahamu hapo Lumumba kuliko Ndege John?Mnaingiza Familia kwenye Majanga msio yajua.
Wewe ndege JOHN familia yako inakucheki tu. Wamama hawanaga mchezo na maamuzi yao. Subiri sanduku la Kura mkeo akampigie mtu mwingine.
Ni yeye mwenyewe,tangu juzi alishatubu.Najaribu kuwaza kama kweli macho yangu yanaona vizuri au kwa sababu ni usiku? Sitaki kuamini kama hii ni ID ya NdegeJohn. Amedukuliwa huyu. Kama hamyaki kuamini maneno yangu tazameni post na comment za miaka yake miwili mitatu nyuma mtashanga sana.
Lissu baba endelea utuletee nchi tuitakayo
Ni yeyeNajaribu kuwaza kama kweli macho yangu yanaona vizuri au kwa sababu ni usiku? Sitaki kuamini kama hii ni ID ya NdegeJohn. Amedukuliwa huyu. Kama hamyaki kuamini maneno yangu tazameni post na comment za miaka yake miwili mitatu nyuma mtashanga sana.
Lissu baba endelea utuletee nchi tuitakayo