OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa ufupi sana.
Tunaona mama akifanyia kazi malalamiko ya wananchi kuhusu viongozi mahalamia wanaotumia vyombo vya ulinzi kufanya unyanganyi na uporaji na ukandamizaji.
Kwa mambo ambayo alikuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani wake leo hii angekuwa hai alitakiwa kuondolewa kwenye urais na kuchunguzwa kwa kukiuka haki za binaadamu.
Usiniulize angechunguzwa na nani. Hoja yangu ni kwamba alikuwa na kila sifa za kuondolewa urais na kuchunguzwa kwa uvunjifu wa katiba ya nchi na haki za binadamu
Duuh una mguu wa bia lakini kichwani umejaza usaha!Upuuzui mtupu kachunguze na wastaafu walio hai tuone kama walikuwa wema.
Upuuzui mtupu kachunguze na wastaafu walio hai tuone kama walikuwa wema.
Hakuna kiongozi mwema, isipokuwa jiwe alikuwa na siasa za kishamba sana, toka tupate uhuru!!na ukatili wa waziwazi kabisa akijua hakuna wa kumfanya kitu, na ndio maana hao kina sabaya, makonda, walionekana mashujaa kwake!!yaani raia wako wanapotea tu, wanaopiga kelele juu yao unawaambia wakome, inawezekana hao ndugu zao wako nyumba ndogo!!wananchi wako wanakumbwa na baa la njaa unawaambia wafe tu serikali haina shamba!!MUNGU FUNDIUpuuzui mtupu kachunguze na wastaafu walio hai tuone kama walikuwa wema.
π π π πMagufuli afufuliwe ajibu mashitaka kisha anyongwe
Wote lzm walipe damu hizi kama ulikuwa mlinzi ukafungua geti, ulikuwa dereva ukabeba mtu akauwawe ulitoa simu yako Ili wakauwawe hao jiandae, uzuri albadili ilishaponda nyoka kichwa waliobaki wote ni lzm wapukutikeKushambuliwa kina Lissu, kupotea kina Ben, kupotea kina Azory, kuuwawa kina Mawazo, watu wa kwenye viroba nk, wewe unaona ni sawa tu mkuu?
Huoni haja kabisa kwa wahanga hawa na ndugu zao kutendewa haki?
Mkuu #Sandali punguza hasira mkuuMagufuli afufuliwe ajibu mashitaka kisha anyongwe
Bashite, musiba, wasiojulikana next episode ngoja sabaya apate uzoefu wa jela Kwanza awe nyaparaMama anapaswa kuunda tume
Wote waliofanyiwa unyama miaka mitano
Waende kuripoti .. kwenye ushahidi
Wahusika wapelekwe mahakamani ..
Na watu warudishiwe Mali zao walizo porwa
Chama cha ukatili na mauaji ya raia Tanzania