Hata Magufuli angekuwepo angetakiwa kuchunguzwa kama DC Sabaya

Hata Magufuli angekuwepo angetakiwa kuchunguzwa kama DC Sabaya

Uchunguzi siyo lazima awe hai.

Haja ya kufanya uchunguzi ipo sana. Nia ni kutaka kutumia uovu uliofanyika chini ya utawala wa marehemu Magufuli kama funzo katika mambo mengi. Watakaothibitika kushirikiana na marehemu katika uovu, lakini wapo hai watashtakiwa. Marehemu yeye hukumu yake ipo huko ambako kila mmoja ataenda siku ambayo Mungu amempangia. Hiyo ni mahakama ya juu zaidi kuliko mahakama zote za Dunia.
 
Uchunguzi siyo lazima awe hai.

Haja ya kufanya uchunguzi ipo sana. Nia ni kutaka kutumia uovu uliofanyika chini ya utawala wa marehemu Magufuli kama funzo katika mambo mengi. Watakaothibitika kushirikiana na marehemu katika uovu, lakini wapo hai watashtakiwa. Marehemu yeye hukumu yake ipo huko ambako kila mmoja ataenda siku ambayo Mungu amempangia. Hiyo ni mahakama ya juu zaidi kuliko mahakama zote za Dunia.

Huko aliko kama anayaona haya atakuwa anajisemea: hiiiiiiii.
 
Mama anapaswa kuunda tume
Wote waliofanyiwa unyama miaka mitano
Waende kuripoti .. kwenye ushahidi
Wahusika wapelekwe mahakamani ..
Na watu warudishiwe Mali zao walizo porwa
Kama waliovujiwa nyumba zao Kimara, mita 122 kila upande bila malipo kupisha upanuzi wa barabara Morogoro (njia 8) ambayo upana wake ni mita 40-50. Nashauri mita zaidi ya 80 za kila upande wapimiwe walioadhirika na zoezi hilo kama hakutakuwa na fedha za fidia ama kifuta machozi. Mh. Rais Wanainchi hao wanasubili HURUMA YAKO.
 
Kwa ufupi sana.

Tunaona mama akifanyia kazi malalamiko ya wananchi kuhusu viongozi mahalamia wanaotumia vyombo vya ulinzi kufanya unyanganyi na uporaji na ukandamizaji.

Kwa mambo ambayo alikuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani wake leo hii angekuwa hai alitakiwa kuondolewa kwenye urais na kuchunguzwa kwa kukiuka haki za binaadamu.

Usiniulize angechunguzwa na nani. Hoja yangu ni kwamba alikuwa na kila sifa za kuondolewa urais na kuchunguzwa kwa uvunjifu wa katiba ya nchi na haki za binadamu
Acha upotoshaji wapi uliambiwa raisi wa JMT anachunguzwa kwenye jinai
 
Yeye mwenyewe alishawahi kusema haogopi,ulikuwa unamuonaje yule hana tabia za kimama kama hilo jimama lenye mititi gunia🤣🤣🤣
 
Kwa ufupi sana.

Tunaona mama akifanyia kazi malalamiko ya wananchi kuhusu viongozi mahalamia wanaotumia vyombo vya ulinzi kufanya unyanganyi na uporaji na ukandamizaji.

Kwa mambo ambayo alikuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani wake leo hii angekuwa hai alitakiwa kuondolewa kwenye urais na kuchunguzwa kwa kukiuka haki za binaadamu.

Usiniulize angechunguzwa na nani. Hoja yangu ni kwamba alikuwa na kila sifa za kuondolewa urais na kuchunguzwa kwa uvunjifu wa katiba ya nchi na haki za binadamu
Ni kweli kabisa sababu wakati wa utawala wake kulikuwa na matukio mengi ya utekaji, unyanyasaji na mauaji pia unyang'anyi na maovu ya kila aina ikiwemo kupigwa risasi nyingi mwanasiasa Lissu.

Haya matukio yalitokea lakini hakuwahi kukemea wala kuongelea popote pale na yaliendelea kuongezeka bila yeye kukemea au kuunda tume kuchunguza.

Hii inatoa picha halisi kwamba haya mambo yalikuwa yanafanyika kwa orders zake na ndio maana kulikuwa na watu wanaongea wazi kabisa kwamba tutakupoteza au kuuwawa kama alivyoongea Musiba na wengineo.
 
Kwa ufupi sana.

Tunaona mama akifanyia kazi malalamiko ya wananchi kuhusu viongozi mahalamia wanaotumia vyombo vya ulinzi kufanya unyanganyi na uporaji na ukandamizaji.

Kwa mambo ambayo alikuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani wake leo hii angekuwa hai alitakiwa kuondolewa kwenye urais na kuchunguzwa kwa kukiuka haki za binaadamu.

Usiniulize angechunguzwa na nani. Hoja yangu ni kwamba alikuwa na kila sifa za kuondolewa urais na kuchunguzwa kwa uvunjifu wa katiba ya nchi na haki za binadamu
Asante kwa kulileta hili OKW BOBAN SUNZU.

Huu mchakato lazima utakuja fanyika hata kama siyo leo kipindi cha SSH na CCM yake. Iko siku upinzani utakuja chukua nchi na itajengwa hoja tu aidha ya maridhiano au ya kumshtaki Mwendazake posthumously. Lazima kumbu kumbu zije zikae vizuri kwa vizazi vijavyo.

Suala kama la Tundu Lissu kubakia hai baada ya kupigwa risasi 16, na kunyimwa matibabu, kunyimwa mshahara wa ubunge na kunyang'anywa ubunge na Serikali isichukue hatua dhidi ya wauaji lazima lipatiwe majibu
 
Back
Top Bottom