Hata Majaliwa hatauweza mpira wa TZ...

Hata Majaliwa hatauweza mpira wa TZ...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Juzi majaliwa alikuwa anazungumza mambo mbali mbali kuhusu Mpira
na michezo kiujumla
tukumbuke pia kuwa majaliwa ni kocha wa football
na mwanachama wa TAFCA...

watu wengi wanafikiri Majaliwa atafanya kitu kuhusu football ya TZ

kiukweli mimi naona anatakiwa asijihusishe kabisa na TFF na football
ya kiwango cha juu
yeye ajihusishe na michezo mashuleni,ma vyuoni baasi

huku kwingine the less government intervention the better

moja ya matatizo ya mpira wa TZ ni vyama

kuna vyama viingi vinavyopewa jasho la mpira huku vyenyewe vikiwepo
tu kazi kula tu

leo simba na yanga inacheza
kesho utasikia makato yao yameenda TAFCA,DRFA ,vyama vya wilaya
vya marefa na kadhalika......

huu wote ni unyonyaji...na ni system iliyokaa kisiasa zaidi....

simba na yanga zitaingiza milioni 400
lakini nusu ya fedha itaenda kwa vyama hivi.....hizi ndo siasa zinazoharibu mpira

majaliwa asaidie kuondoa haya akitaka
 
Juzi majaliwa alikuwa anazungumza mambo mbali mbali kuhusu Mpira
na michezo kiujumla
tukumbuke pia kuwa majaliwa ni kocha wa football
na mwanachama wa TAFCA...

watu wengi wanafikiri Majaliwa atafanya kitu kuhusu football ya TZ

kiukweli mimi naona anatakiwa asijihusishe kabisa na TFF na football
ya kiwango cha juu
yeye ajihusishe na michezo mashuleni,ma vyuoni baasi

huku kwingine the less government intervention the better

moja ya matatizo ya mpira wa TZ ni vyama

kuna vyama viingi vinavyopewa jasho la mpira huku vyenyewe vikiwepo
tu kazi kula tu

leo simba na yanga inacheza
kesho utasikia makato yao yameenda TAFCA,DRFA ,vyama vya wilaya
vya marefa na kadhalika......

huu wote ni unyonyaji...na ni system iliyokaa kisiasa zaidi....

simba na yanga zitaingiza milioni 400
lakini nusu ya fedha itaenda kwa vyama hivi.....hizi ndo siasa zinazoharibu mpira

majaliwa asaidie kuondoa haya akitaka



Hayo yote siyo muhimu, cha muhimu na alichofanikiwa kukifanya ni kwamba EFD zinafungwa Viwanjani hivyo tiketi zoote TanZania nzima ni lazima zilipiwe kodi, fikiria nyomi iliyoko Uwanja wa Taifa halafu kila tiketi tunafedha yetu, wakati zamani ilikuwa wanakusanya wanafanya makadirio na kula fedha yote sasa hivi kila kichwa kitalipia kodi!
 
Its clear that Magufuli is trying to do something to undo historical wrongs! You have never mentioned anything positive about this administration....you're always pessimistic! Why?
This guy is so negative.......he has nothing positive to say about the government!
 
Juzi majaliwa alikuwa anazungumza mambo mbali mbali kuhusu Mpira
na michezo kiujumla
tukumbuke pia kuwa majaliwa ni kocha wa football
na mwanachama wa TAFCA...

watu wengi wanafikiri Majaliwa atafanya kitu kuhusu football ya TZ

kiukweli mimi naona anatakiwa asijihusishe kabisa na TFF na football
ya kiwango cha juu
yeye ajihusishe na michezo mashuleni,ma vyuoni baasi

huku kwingine the less government intervention the better

moja ya matatizo ya mpira wa TZ ni vyama

kuna vyama viingi vinavyopewa jasho la mpira huku vyenyewe vikiwepo
tu kazi kula tu

leo simba na yanga inacheza
kesho utasikia makato yao yameenda TAFCA,DRFA ,vyama vya wilaya
vya marefa na kadhalika......

huu wote ni unyonyaji...na ni system iliyokaa kisiasa zaidi....

simba na yanga zitaingiza milioni 400
lakini nusu ya fedha itaenda kwa vyama hivi.....hizi ndo siasa zinazoharibu mpira

majaliwa asaidie kuondoa haya akitaka
Sasa ushasema Majaliwa hatauweza mpira wa Tz labda ajihusishe na mpira level za chini halafu mwisho tena unasema Majaliwa aondoe 'haya' [unayoyaona ndio matatizo]. Kwa kifupi unaona Majaliwa na mipango yake hawezi kufanikiwa labda afuate mawazo yako wewe.....Na unamalizia asijihusishe na TFF na soka kabisa!!!
 
This guy is so negative.......he has nothing positive to say about the government!

Nna threads na post nyingi tu very positive kuhusu serikali
labda hujakutana nazo
 
Timu zetu zinahitaji kuwa viwanja vyao. Makato pekee halali yatakuwa ni VAT tu.
TFF mapato yao lazima yatoke Taifa Stars sio kwenye mechi za VPL.
Utiriri wa makato ni wizi wa mchana kweupe.
 
Asihangaike na TFF na program zao za kufikirika!! La muhimu kwa kushirikiana TAHOSSA aboreshe UMISETA na UMITASHUMTA .... Tuna vyuo vya michezo, kozi za Ualimu wa PE na walimu wako mashuleni.... Hii ndo njia ya kusaidia michezo yote
 
Sema tu unataka Majaliwa afeli ,hakuna asiyeelewa msimamo wako kuhusu utawala wa Magufuli
 
Back
Top Bottom