Tunawaambie nyie watu wenye primitive mentality kuwa hakuna maendeleo yanayoweza kuhalalisha ukatili, unyanyasji, mauji na utesaji wa raia hata siku moja.
Serikali yoyote duniani ambayo viongozi wake wamekosa utu, haikubali mbinguni na dunia labda itakubaliwa na shetani tu.
Na msisahau mnatumia kodi za hao wananchi masikini kufanya hayo mnayoyafanya na sio kwamba hizo fedha zinatoka mfukoni mwenu na hata hiyo kazi mliomba wenyewe wala hamkulazimishwa.
Makaburu, walioijenga Afrika Kusini, walikataliwa na walio wengi kwenye sanduku la kura na badala yake alichaguliwa Mandela kuwa Raisi, mtu ambae hakujenga hata sentimita moja ya barabara bali alikuwa akipagania haki za watu weusi.
Mwisho, tambueni ukaburu sio rangi bali ni matendo.
Wewe pia ni kaburu tu, tofauti yenu ni ngozi tu! kwa sababu: chuki dhidi ya mtu km wewe! sawa alifanya lkn si ametubu unayaleta tena humu!
Wale Makaburu walistahili kuishi na kuongoza sirikali ya nchi yao! walipo zaliwa! waende wapi sasa? acha chuki za kupandikizwa na watu wanao taka mlo mmoja wa siku! Nyie hapo Bongo mbona mnateswa? tena na vibwengo wenzenu tu weusiii hawana meno!!
Mara muitane majina ya udhariri eti wafanya kazi hewa, mtumbuliwa eti mnafurahiii mnacheka wkt li serikali bovu hilohilo ndo liliwapandikiza hao hewa bila hata aibu halikuwalipa utumishi wao! eti kwa sababu ya urafi na ushamba wa hela! afadhali uongozwe tu na weupe!!
Hilohilo jambazi jeusi tii likachukua hizo hela lika jenga uwanja wa ndege wa Mabillion tena kwa jeuri tuuu kijijini kusiko na tija yeyote kiuchumi tena basi linasemawaaazi halita kaa huko kunako kustaaf
ila haya yoote unaona ni sawa tu. unakomalia mabaya ya kibinadamu ya wenzio, kwa sababu tu ni weupe warembo wachapa kazi tena kuliko na tofauti na weye! yaani ubora uliotokana na wao kujituma unaona si kitu!! mbona nyie hamkuwa km wao??
tena kwa sababu wana hela na akili mingi kuliko wewe siyo? badala ya kuwashukuru kuja na wamewajenga? nyie ni chuki tuuuu!! hii nayo ni ukaburu mweusi bana kumbe tusemeje!
Ok! hao ndg zenu weusi mliwasaidia kujikomboa sawa! mkawa weka pahala salama paleee Mazimbu Morogoro na kwingineko humo Africa kwenu tena buree kabisaa hamjawadai chochote mkawapa chakula tiba mwanana! wakaenda walikotaka na kurudi nchini mwenu ka kwao vile na mkaishi nao km ndg!
Mbona tena leo hao hao wana wachukia? hawawataki muishi nao makwao? wanawaonea uchoyo hawataki mle nao tena! wanawatenga wanawaadhibu mchana kweupee kwa ukatili mkubwa tena kwa kuwachoma moto hadharani eti wanadai ni wageni mrudi mliko toka mnawamlizia chakula chao?!
na yule unae mwita Kaburu mnyonyaji wame mwachia tu anafanya anavotaka? anakula na kusaza? ila mnaunguzana wenyewe kwa wenyewe! mnaona ni sawa! Ghana walijifanya hivo hivo km, hawa zamani zile leo wako wapi?
Angalia wakimbizi weusi ndani ya nchi ya Israel wanavo tendewa wema! jamani heee! unawasikia kwanza wanalia? mnajifanya tu mlivo wanyama hata mleta mada leo mkipewa free Passport/visa mwende mnako taka habaki mtu hapo!! hata familia ya jiwe tu watamuacha hapo!! uongo!
Tena hao hao ndugu zenu wana wadhalilisha mno! kuliko kaburu alivo fanya! wanawaiteni nyie eti kwerekwere!!! wkt ngozi mna fanana nao!! mnajichekesha tu Kaburu !! kabyuru!!! kabyuru
Sasa leo yamezuka makaburu meusi tiii ya TZ, na Africa mbona bado hamuwasemi? km mimi ni muongo Lema, Madaktari wenu. Lisu wako wapi leo!!kwa uchache! wamo humo nchini? au wako kwa wale Makaburu? si wana siasa hao au?!! tena basi kaburu wa watu amaejikalia pembeni hana la kusema! Miafrica bana!!!!