Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Saafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅wa mkia mbele hamuwezi kuwa na upendo huo
🙏🙏🙏tarime mbwa walikuwa wanatumika mchana kuwinda,sungura na viswalaswala
usiku ni ulinzi. hasa wale wafugaji wanajua
kiufupi alikuwa na umuhimu sana
Kwahiyo unakubali usemi wa wanaume wote ni imbwa😅😅😅 hahaha umeshinda ila muache uzinziLakini wote dogs. Hii story Haina Cha codes Wala Nini, ni mbwa kabisa huyu mnyama watu wanafunga na wengine mnatufananisha nao ndio amen show love to this extent imagine.
Upendo wa dhati uliopelekea umauti Hadi akafia kwenye kaburi la boss wake. So touching story
🙏🙏🙏🤝🏾 Senkyuu
Hiyo ajenda nilishakwambia inahitaji kuunganisha nguvu za Mzee wa upako, Buldoza Mposa Boy, Gwaji na maombi yenu wote.Kwahiyo unakubali usemi wa wanaume wote ni imbwa😅😅😅 hahaha umeshinda ila muache uzinzi
Hapo namba 3 umevutia upande wa jinsia yako..!! 🤣🤣🤣Viumbe vitatu vinavyopenda kweli
1. Mzazi.
2. mbwa
3. Mwanaume.
Mwanamke anapenda pale akiwa ni mama tu basi na wala si vinginevyoMkuu, mbona umembagua mwanamke?
Hata mama yako ni mwanamke, unajua!
Wanawake wana uwezo mkubwa sana wa kuonesha upendo, wakiamua lakini.
Kwa hapo napingana na wewe mkuu!Ukiwajali wazazi utajali wengine pia
Hapana! Hapana! Hapana mkuu!Mwanamke anapenda pale akiwa ni mama tu basi na wala si vinginevyo
😂😂Viumbe vitatu vinavyopenda kweli
1. Mzazi.
2. mbwa
3. Mwanaume.
😀😀😀Unaakili mnoo
Mnawadhamini mahakamani aukwetu tarime tunadhamini sana mbwa. Akifaga huwa hatuendi shambani
sina hakika kama siku hizi hiii kitu inaendelea hadi leo
Kwa hapo napingana na wewe mkuu!
Kuna mwanamke na mwanaume anayewajali sana wazazi wake wa damu lakini hayupo tayari kumsaidia hata Panadol mkwe wake mgonjwa.
Nimekupata mkuu! Nahisi nimeelewa ulichomaanisha.Uangaliwe vizuri huo unaouita upendo au kujali wazazi Kwa huyo mtu.
So interesting 🤝Mbwa wana upendo wa hali ya juu, hii pia imetokea bongo land, kuna mama alifariki mwezi wa pili alikuwa na mbwa wake akimpenda sana. Baada ya maziko yule mbwa alikuwa anakaa mbele ya kaburi na mwisho wa siku akatoroka nyumban, kwa sasa ni mbwa wa mtaani.
Ni kweli!namba moja sio wote kuna wengine hawana akili timamu