Hata mbwa anamjali anayemjali

Just thinking of that lonely night at the graveyard 😭

Hawa wengine baada ya Kifo chako wanakutana na kuanza kugawana ulivyoviacha bila kujali Jasho na damu lililokutoka kuvipata πŸ™Œ
 
Hapo namba 3 umevutia upande wa jinsia yako..!! 🀣🀣🀣
Kwakuwa wanaume wote ni mbwa basi sawa
Kama una mke na watoto amini mke anawapenda watoto sio wewe mkuu.

Na yuko na wewe kwa sababu unalea watoto wake na umamtimizia mahitaji yake.
Na hata ukifa atalia kwa sababu yeye na watoto watakosa mahitaji.
 
Mbwa bonge la mshikaji

Ni mshikaji wa ukweli

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…