Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unataka mkae zaidi ya miaka 10 ndiyo umuoe? Wewe ndiye una shida.Wanaume wenzangu mnaweza vipi kuwamudu wanawake wenye njaa ya kuolewa [emoji276]
Mwanamke hata miaka 10 hatujatoboa unataka ndoa ya nini ?
Miaka 10 yupo sahihi sasa utapimaje uvumilivu wake ?Ati miaka 10? You guy must be joking
Mkuu miaka 10 si ndoa tayari hiyo?Wanaume wenzangu mnaweza vipi kuwamudu wanawake wenye njaa ya kuolewa [emoji276]?
Mwanamke hata miaka 10 hatujatoboa unataka ndoa ya nini?