Hata Pele amestaafu kucheza mpira lakini kuna wakati hupiga danadana

bothlegs

Senior Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
122
Reaction score
48
Jamaa mmoja alikuwa ni mlevi wa kupindukia wa pombe za kienyeji,ikafika wakati akaamua kuacha kunywa pombe na kuithibishia jamii kwamba yeye na pombe basi tena.

Siku moja baada ya muda mrefu kuacha ulevi, alikutwa bara anakunywa bia.Kwa mshangao jamaa wakamuuliza "wewe si ulisema umeshaacha kulewa,mbona unakunywa bia?

"Yule mlevi akawajibu mbona Pele amejiuzulu kucheza mpira lakini anapiga danadana?
 
Nadhani Pele bado amelala mpaka sasa hivi, huyo mlevi hana tofauti na wanachama wa chaputa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…