Hata Polisi wanachukizwa na mfumo wa CCM

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
880
Reaction score
1,985
Inawezekana Polisi na wao wameshachoka kutumika kama Toilet paper chini ya uongozi wa ccm.. sema ndio hivyo hakuna namna na walishaapa watailinda katiba ya nchi , na rais ..

Ila deep down hata wenyewe police hawapendi namna mambo yanavyo enda Kwa Sasa .. Kazi yao ni kufwata oda tu kutoka juu , hata kama oda ni ya kuua , ni lazima uue, ukiwa against na oda, hautoboi..

Wanatamani hata kuongoza maandamano, ndio hivyo haiwezekani , lazima waishi ndani kiapo..
 
Kama wangekuwa wamechoka, wangesha onyesha dalili or rebellion. But its seems mfumo una wafaidisha, is why hawataki kutoka huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…