Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Wachambuzi wa Soka Tanzania na Watanzania ni Wanafiki sana wengine washakuwa Wachawi.
Kwanini kufungwa Yanga kiwe kitu cha ajabu kiasi hicho?Kila kona kelele na uchambuzi mavi usio na kichwa wala miguu, kila kona unakuta Mchambuzi anaharishia watu.
Hakuna Mchambuzi wa kumchambua Nabi hapa Tanzania hayupo wala hajazaliwa kajambeni mbele huko.
Huyo Fei toto wenu anayewalipa ili mumseme kama sababu mbona hakuifikisha Yanga Fainali alivyokuwepo?
Timu gani hapa Duniani inachukua Makombe tu haijawahi kufungwa kwanini kufungwa Yanga iwe Nongwa?
Kuweni Wazalendo kwanza Fainali haijaisha, na hata kama Yanga watashika Nafasi ya Pili CAF siyo kazi ndogo punguzeni Makasiriko.
Hebu tupisheni huko.
Kwanini kufungwa Yanga kiwe kitu cha ajabu kiasi hicho?Kila kona kelele na uchambuzi mavi usio na kichwa wala miguu, kila kona unakuta Mchambuzi anaharishia watu.
Hakuna Mchambuzi wa kumchambua Nabi hapa Tanzania hayupo wala hajazaliwa kajambeni mbele huko.
Huyo Fei toto wenu anayewalipa ili mumseme kama sababu mbona hakuifikisha Yanga Fainali alivyokuwepo?
Timu gani hapa Duniani inachukua Makombe tu haijawahi kufungwa kwanini kufungwa Yanga iwe Nongwa?
Kuweni Wazalendo kwanza Fainali haijaisha, na hata kama Yanga watashika Nafasi ya Pili CAF siyo kazi ndogo punguzeni Makasiriko.
Hebu tupisheni huko.