Hata sijamtongoza

Hata sijamtongoza

Je hapo awali alijua kuwa hauna mapenzi naye?
Tatizo ni dogo sana, mnaishi dunia moja lakini nchi tofauti...

Anyway siku atakayofika mjini nenda kampokee ukiwa wewe na mchumba/mpenzi wako halisi na hakikisha zoezi la utambulisho linafanyika vyema...

Baada ya hapo nin uhakika hutapata tena usumbufu...
good idea nitafanya hivyo
 
Habarini wana JF,

Nina rafiki yangu wa kike tulisoma nae elimu ya sekondari tulipendana kama marafiki na alikuwa akinipenda sana ila mimi sikumpenda kimapenzi japo ni mzuri,miaka minne imepita sikuwa na mawasiliano nae kwa sababu nilikuwa mbali nikiendelea na masomo ya juu, yeye yupo Arusha na mimi nilirejea Dar,akapata mawasiliano yangu tukawa tunawasiliana alilalamika sana sababu sikutaka kumtafuta,akaanza kuniomba vocha,pesa vyote nilimsaidia kibinadamu.

Nimekuja kushtuka jana baada ya kuniambia baby naomba hela nikanunue kuna nguo nimeipenda halafu wiki ijayo nakuja.

Msaada jaman na mimi nina mpenzi wangu.

Muulize anakuja kwako kufanya nn?
 
Mwambie ukweli kwasababu hakuna namna nyingine ya kumsaidia......na huo ukweli maanisha na usiwe ule wa...........!
 
kwi kwi kwi bingwa la kuharibu !!sasa si amesoma nae?sema anataka amuonjeshe na mgegedo wake !!haki ya nani mimi nisingemuacha hata ningekua na nyumba ndogo zingine 10(INAONGEZA HADHI YA KIUME)

Nini kusoma kwani ye ndo wa kwanza kusoma?
ndo aongezea hadhi ya kiume kwa kuhonga sio kulia lia
vilio atuachie wanawake....
 
mmmmmm...!!
Una mpenzi afu unatoa hela kumnunulia nguo mwanamke eti rafiki ako, umesoma nae
na huyo mwenzio nae akiletewa nguo na zawadi kede kutoka kwa wababa aliosoma nao utafurahi eeeeh...
uuuh thanks huyo mwanamke sio mie.
 
Mwambie hali halisi kama una mpenzi akihiali kuja tu gegeda huo mzigo unasubili nini
 
Una mpenzi afu unatoa hela kumnunulia nguo mwanamke eti rafiki ako, umesoma nae
na huyo mwenzio nae akiletewa nguo na zawadi kede kutoka kwa wababa aliosoma nao utafurahi eeeeh...
uuuh thanks huyo mwanamke sio mie.
ni msaada wa kibinadamu tu kaniomba sina budi kumsaidia
 
Habarini wana JF,

akaanza kuniomba vocha,pesa vyote nilimsaidia kibinadamu.

Nimekuja kushtuka jana baada ya kuniambia baby naomba hela nikanunue kuna nguo nimeipenda halafu wiki ijayo nakuja.

Msaada jaman na mimi nina mpenzi wangu.

mkuu unaelewa maana ya mizinga??? hapo huna chako!! amka...
 
Habarini wana JF,

Nina rafiki yangu wa kike tulisoma nae elimu ya sekondari tulipendana kama marafiki na alikuwa akinipenda sana ila mimi sikumpenda kimapenzi japo ni mzuri,miaka minne imepita sikuwa na mawasiliano nae kwa sababu nilikuwa mbali nikiendelea na masomo ya juu, yeye yupo Arusha na mimi nilirejea Dar,akapata mawasiliano yangu tukawa tunawasiliana alilalamika sana sababu sikutaka kumtafuta,akaanza kuniomba vocha,pesa vyote nilimsaidia kibinadamu.

Nimekuja kushtuka jana baada ya kuniambia baby naomba hela nikanunue kuna nguo nimeipenda halafu wiki ijayo nakuja.

Msaada jaman na mimi nina mpenzi wangu.

Mwanaume gani wewe una mpenzi 1 jee ukija kupigwa kibuti ndiyo nyie huwa mnajiua
 
Umeshamfahamisha kuwa wewe una mtu wako? Maana haya mambo mengine huwa tunayatengeneza wenyewe halafu mwishoni tunalalamika, kwa mfano ulichukua hatua gani alivyokuita Baby wakati wewe upo kwenye mahusiano mengine ambayo unayaheshimu?

Si wanasemaga kuitwa baby ni njia ya kukuandaa kukamuliwa!?
 
Back
Top Bottom