Hata sisi CCM hatutaki katiba ya UKAWA, UKAWA ni kikundi kidogo sana cha WAHUNI....

Hata sisi CCM hatutaki katiba ya UKAWA, UKAWA ni kikundi kidogo sana cha WAHUNI....

A4.

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
670
Reaction score
108
UKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi?

UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?

CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.

UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache.

CCM imeishi zaidi ya miaka 37,
UKAWA ni kikundi ambacho hakina hata miezi miwili, je uzoevu wa kuunda serikali wameutoa wapi? UKAWA ni kikundi kinachoweza kufa muda wowote, waiache tz kwenye mataa!

WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.
 
UKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi?

UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?

CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.

UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache.

WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.

swali kwako mleta uzi hivi ccm mnawanachama wangapi?na mlichaguliwa na watu wangapi?
 
Minyoo inakusumbua wewe.Hao misukule yako huko bungeni ni wengi kuliko wananchi waliotaka S3?Yaani kikundi cha wahuni wachache waliojitanabaisha kama miungu watu wanataka kupoka chaguo la wananchi.
 
swali kwako mleta uzi hivi ccm mnawanachama wangapi?na mlichaguliwa na watu wangapi?

wanachama tupo zaidi ya milioni tano. Kwani wanachama huchaguliwa na nani?
 
UKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi?

UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?

CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.

UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache.

WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.
katiba ya ukawa ndio ipi??? Maana najua kuna rasimu ya tume ya warioba yenye maoni ya wananchi sasa labda ufanue vizuri inamana hamtaki katiba ya wananchi?? ,mnataka mjadili katiba ya ccm ambayo haina maoni ya wanachi wasio na vyama??
 
UKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi? ...
WanaCCM nao ni wananchi, ila muundo inaoutaka ulitolewa maoni ya kupendelewa na watu wachache, halafu kwa hoja hafifu ndio maana haukupendekezwa na Tume ya mabadiliko ya Katiba!
 
Kwani rasimu ya katiba ni ipi? Na inasemaje? Unaunga mkono serikali mbili za katiba ya CCM ipi? Wao nao waliambiwa waandae rasimu au? Mbona hamjielewi nyie manyani
 
Minyoo inakusumbua wewe.Hao misukule yako huko bungeni ni wengi kuliko wananchi waliotaka S3?Yaani kikundi cha wahuni wachache waliojitanabaisha kama miungu watu wanataka kupoka chaguo la wananchi.

kila mbunge/mjumbe anawakilisha kundi lake. Sasa ukiangalia chama chenye wawakilishi wengi ni CCM, sasa hao wachache watabebaje maoni ya wengi? Ukawa ni wachache na wanawakilisha wachache, simple like that! Uchochez hauna maana!
 
Kwani rasimu ya katiba ni ipi? Na inasemaje? Unaunga mkono serikali mbili za katiba ya CCM ipi? Wao nao waliambiwa waandae rasimu au? Mbona hamjielewi nyie manyani

Umensaidia.
 
mleta mada, kwani Ukawa wana rasimu yao?
 
A4., usipotoshe mambo, hakuna katiba ya UKAWA. Kuna rasimu ya Katiba iliyotokana na maoni ya wananchi baada ya kuhojiwa na Tume ye Mabadiliko ya Katiba iliyoteuliwa na CCM. UKAWA wanawaunga mkono wananchi kupitia hiyo rasimu huku CCM wakiikana kwani imegusa maslahi ya mafisadi walioipora chama kutoka mikononi mwa wananchi. UKAWA wanapambana na hilo genge la wezi na wauaji, Interahamwe, walioiteka nyara CCM na hivyo kuhatarisha usalama na maisha ya wazalendo wa taifa hili.
 
A4., usipotoshe mambo, hakuna katiba ya UKAWA. Kuna rasimu ya Katiba iliyotokana na maoni ya wananchi baada ya kuhojiwa na Tume ye Mabadiliko ya Katiba iliyoteuliwa na CCM. UKAWA wanawaunga mkono wananchi kupitia hiyo rasimu huku CCM wakiikana kwani imegusa maslahi ya mafisadi walioipora chama kutoka mikononi mwa wananchi. UKAWA wanapambana na hilo genge la wezi na wauaji, Interahamwe, walioiteka nyara CCM na hivyo kuhatarisha usalama na maisha ya wazalendo wa taifa hili.

kWANINI WAKATI WARIOBA ANAKUSANYA HAYO MAONI MNAYODAI HAKUKUSANYA WATU KAMA UKAWA WALIVYOWAKUSANYA BAADA YA KUTOKA NJE YA BMK?
 
UKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi?

UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?

CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.

UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache.

CCM imeishi zaidi ya miaka 37,
UKAWA ni kikundi ambacho hakina hata miezi miwili, je uzoevu wa kuunda serikali wameutoa wapi? UKAWA ni kikundi kinachoweza kufa muda wowote, waiache tz kwenye mataa!

WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.

Unaongea kitu usichokielewa!

Sikiliza Kama una akili shika hili;
UKAWA hawakwenda Na rasimu Yao Bungeni, rasimu wanayoitetea UKAWA ni ile iliyopelekwa Bungeni Na tume aliyoiunda Rais Na kuongozwa Na Warioba. Hii tume ilikusanya maoni ya wananchi Na kuandika rasimu ya katiba. Hii rasimu ndiyo inayotetewa Na UKAWA.

Tofauti CCM wametengeneza katiba Yao Na kuipeleka Bungeni! Si maoni ya Wananchi.

Kama una akili timamu utakuwa umeelewa
 
UKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi?

UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?

CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.

UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache.

CCM imeishi zaidi ya miaka 37,
UKAWA ni kikundi ambacho hakina hata miezi miwili, je uzoevu wa kuunda serikali wameutoa wapi? UKAWA ni kikundi kinachoweza kufa muda wowote, waiache tz kwenye mataa!

WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.
epidomia intarahamwe@work
 
tunataka Tanganyika yetu kama visiwani walivyo na smz
 
Kama UKAWA ni kikundi kidogo na kitakufa muda wowote kama ulivyosema mtoa mada sasa hofu yenu ni nini hasa?Ninyi si muendelee na mchakato wa kutuletea katiba sisi wananchi? HAMUWEZI KUENDELEA NA MAMBO BILA KUITAJATAJA UKAWA?
 
Kwani UKAWA wamewashilisha rasimu kama CCM walivyofanya?
 
Back
Top Bottom