UKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi?
UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?
CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.
UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache.
CCM imeishi zaidi ya miaka 37,
UKAWA ni kikundi ambacho hakina hata miezi miwili, je uzoevu wa kuunda serikali wameutoa wapi? UKAWA ni kikundi kinachoweza kufa muda wowote, waiache tz kwenye mataa!
WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.
UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?
CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.
UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache.
CCM imeishi zaidi ya miaka 37,
UKAWA ni kikundi ambacho hakina hata miezi miwili, je uzoevu wa kuunda serikali wameutoa wapi? UKAWA ni kikundi kinachoweza kufa muda wowote, waiache tz kwenye mataa!
WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.