Kama UKAWA ni kikundi kidogo na kitakufa muda wowote kama ulivyosema mtoa mada sasa hofu yenu ni nini hasa?Ninyi si muendelee na mchakato wa kutuletea katiba sisi wananchi? HAMUWEZI KUENDELEA NA MAMBO BILA KUITAJATAJA UKAWA?
Ni uhuru wa mawazo tu huo jaman msimshambulie sana ndo uwezo wake wa kufikiri umefika hapo......
kila mbunge/mjumbe anawakilisha kundi lake. Sasa ukiangalia chama chenye wawakilishi wengi ni CCM, sasa hao wachache watabebaje maoni ya wengi? Ukawa ni wachache na wanawakilisha wachache, simple like that! Uchochez hauna maana!
Hapa kuna watanzania zaidi ya 40mil, wewe unatulinganisha na misukule 5mil ya ccm?wanachama tupo zaidi ya milioni tano. Kwani wanachama huchaguliwa na nani?
Hapa kuna watanzania zaidi ya 40mil, wewe unatulinganisha na misukule 5mil ya ccm?
wanachama tupo zaidi ya milioni tano. Kwani wanachama huchaguliwa na nani?
Kama wanachama wenu wapo Milion Tano(kwa maana zaidi ni kwamba hamna idadi kamili) sasa huoni kuwa mnazungumzia watu 5mil out of 45mil? Hapo kwenye Red ulikuwa una maanisha nini?
Unazidi kuvua nguo hadharani kiongozi tena upo jukwaani kumbuka!Kwenye bunge la katiba kuna wabunge wa CCM waliochaguliwa na wananchi?kila mbunge/mjumbe anawakilisha kundi lake. Sasa ukiangalia chama chenye wawakilishi wengi ni CCM, sasa hao wachache watabebaje maoni ya wengi? Ukawa ni wachache na wanawakilisha wachache, simple like that! Uchochez hauna maana!
tENA YA S3.
Unazidi kuvua nguo hadharani kiongozi tena upo jukwaani kumbuka!Kwenye bunge la katiba kuna wabunge wa CCM waliochaguliwa na wananchi?
BIG NO.
Wao wanatetea rasimu ya tume ya Warioba. Hawajaandika ya kwao. Walioandika ya kwako ya serikali mbili ni sisiem.
kumbe walichaguliwa na nini?
Miaka 50 mlikuwa wapi kuboresha?jee inaboreshwaje?UKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi?
UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?
CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.
UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache.
CCM imeishi zaidi ya miaka 37,
UKAWA ni kikundi ambacho hakina hata miezi miwili, je uzoevu wa kuunda serikali wameutoa wapi? UKAWA ni kikundi kinachoweza kufa muda wowote, waiache tz kwenye mataa!
WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.
Nani kakuambia ccm ina wafuasi wengi..kwa sasa CCM haina hata wafuasi km CUF na hata idadi kubwa kabisa ya wanachama wa CCM ktk historia yake bado haiwezi shindana na wanachama hai wa CDMUKAWA wanadai kuwa wanadai katiba ya wananchi, je wanaCCM co wananchi?UKAWA hawaoni wanaCCM ndo wengi kwa maana kwamba ndio wanaowakilisha wananchi wengi huko BMK kwani walichaguliwa na wananchi wengi?CCM waendelee na kudai katiba ya wengi kwa wingi wao wa kuchaguliwa na wananchi walio wengi.UKAWA wanasema wanataka katiba ya wananchi na co katiba ya CCM, huko ni kukosa hoja kwani hata sisi wanaCCM hatutaki katiba ya UKAWA ambacho ni kikundi cha watu wachache na wanawakilisha watu wachache. CCM imeishi zaidi ya miaka 37,UKAWA ni kikundi ambacho hakina hata miezi miwili, je uzoevu wa kuunda serikali wameutoa wapi? UKAWA ni kikundi kinachoweza kufa muda wowote, waiache tz kwenye mataa!WENGI WAPE, MARIDHIANO YAKIKOSEKANA TUENDELEE NA KATIBA ILIYOPO. HATUWEZI KUFUATA MAPENDEKEZO YA WACHACHE. S3 NI ZIGO ZITO! TUBORESHE S2 ZILIZOPO.
Kwani UKAWA wamewashilisha rasimu kama CCM walivyofanya?