Hata sisi CCM hatutaki katiba ya UKAWA, UKAWA ni kikundi kidogo sana cha WAHUNI....

Huyo anayedai UKAWA ni kikundi cha wa.....ajitafakari UKAWA wanasimamia maoni yawananchi sichelei kusema hyo katiba inayopendekezwa ndiyo imejaa mapendekezo yawahuni naweziwachache(maccm) wasiopenda uwajibikaji. Jitambue ww usijikatae, nani asiyejua kilichotokea Dodoma, wezi wote walibaki bungeni kunajisi maoni yawananchi nakuweka mambo yenye maslahi kwamatumbo yao
 
Kuwa makini na unachokisema, kwa kuwa siku moja unaweza ukayala maneno yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…