Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,

ni kweli sisi ni sitaa,
nipe mpasho lakini ni mastaa wa nini?
 
Hahahhah ingekua ndo mtihani wa mwisho huu ungefeli kwasababu umefupisha sana mistari....ila kwakuanza Moi is proud!!!

Sasa naomba ufanye marekebisho kidogo!!!


Kuna haja ya kupenda, hali najua naweza tendwa,
nitake mwenyewe kutendwa, hali mimi sitaki penda,
wote huja na nakupenda, hali nia kukutenda,
kuna haja ya kupenda, hali najua naweza tendwa,


Lizzy nikishindwa hapa naomba iwe home work...... Alafu hivi alama za viulizo zinaruhusiwa???
 

Hahahahaha yani kutoka kwenye grade F mpaka B-....kweli mwalimu kapata mwanafunzi!!!

Jamani makofi kwa bibie AD kwakua mwepesi wa kujifunza!
 
Hahahahaha yani kutoka kwenye grade F mpaka B-....kweli mwalimu kapata mwanafunzi!!!

Jamani makofi kwa bibie AD kwakua mwepesi wa kujifunza!


Asante Dear you are a great teacher.... nacheka cheka tu hapa.....

:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:
 
heko asha d kazi yako! Mashairi yana raha yake bwana!



Aiseee sikujua kua ni raha namna hii.... Lakini naona inatakiwa uwe katika mood... maana kazi yake nzito kiasi, labda walo zoea....
 
Asante Dear you are a great teacher.... nacheka cheka tu hapa.....

:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:
Hehheheh asante dear!!!

A great teacher + a great student makes a winner!
 
Hehheheh asante dear!!!

A great teacher + a great student makes a winner!


Me like me ticha.... lol....Kwa hiyo ni wazi sasa kua nafaa katika hio bendi ulikua unazungumzia ???
 

Lizzy tayari unamkosoa ndg yetu, kwanini msianzie mchangani? akikosea ni mkono tu kitu twende mbele
 
Big Up lizzy, umezingatia vina na mizani, hivi shairi nililokutungia lipo? Litunze mpaka tutakapoonana, you never know.


hahahahahahahahah nasikia lizzy ndo anafundisha vina kumbe wewe ndo mtungaji wake hahahahaha siri iko fichuka...
 
Hahahhah ingekua ndo mtihani wa mwisho huu ungefeli kwasababu umefupisha sana mistari....ila kwakuanza Moi is proud!!!

Sasa naomba ufanye marekebisho kidogo!!!

Walimu bwana mie simo, sasa atafutaje na kashamwaga wino sio Penseli? kazi ipo walimu
 
ni kweli sisi ni sitaa,
nipe mpasho lakini ni mastaa wa nini?k

firstlady usijali next duru inakuja maana leo nimezomewa eti mie napendelea beijing, mie jamani ni gentlemen...ladies first
 
lizzy kaingizwa town tayari hahahaha


Bana angalia fidbak Mdada Lizzy kani Train mpaka karibia nafika nusu ya level yako kwa darasa moja... Fanya haraka sana kunipongeza.... Nimetunga bonge moja la shairi la mapenzi..... kwa raha zangu ....
 
Me like me ticha.... lol....Kwa hiyo ni wazi sasa kua nafaa katika hio bendi ulikua unazungumzia ???

Yani hapa ni one way to success....no return ticket and no refund!!Uko tayara my dear mwanafunzi??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…