Hata tupoteze watu elfu, wale jamaa huwa hawakatizi safari.

Hata tupoteze watu elfu, wale jamaa huwa hawakatizi safari.

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Viongozi watanzania huwa hawajali. Hata mfe mamia au maelfu kwenye ajali moja hawawezi katisha safari zao, sembuse makumi.

Shida huwa hakuna uwajibishaji.

Utawasikia wapiga tarumbeta wao wakikwambia kwani akifupisha ziara, atakuja kuwafufua wafu? Au wewe bwege wajua faida ya ziara?

Tuna mifano ya awamu ya tatu, nne, tano na hii awamu ya tano na nusu.

In corrupt countries, No one cares, kwa sababu hawaingizwi madarakani na Wananchi.
 
Viongozi watanzania huwa hawajali. Hata mfe mamia au maelfu kwenye ajali moja hawawezi katisha safari zao, sembuse makumi.

Shida huwa hakuna uwajibishaji.

Utawasikia wapiga tarumbeta wao wakikwambia kwani akifupisha ziara, atakuja kuwafufua wafu? Au wewe bwege wajua faida ya ziara?

Tuna mifano ya awamu ya tatu, nne, tano na hii awamu ya tano na nusu.

In corrupt countries, No one cares, kwa sababu hawaingizwi madarakani na Wananchi.
Hiyo aya ya mwisho imeeleweka,Wanawajibika kwa waliowaweka madarakani !
 
Viongozi watanzania huwa hawajali. Hata mfe mamia au maelfu kwenye ajali moja hawawezi katisha safari zao, sembuse makumi.

Shida huwa hakuna uwajibishaji.

Utawasikia wapiga tarumbeta wao wakikwambia kwani akifupisha ziara, atakuja kuwafufua wafu? Au wewe bwege wajua faida ya ziara?

Tuna mifano ya awamu ya tatu, nne, tano na hii awamu ya tano na nusu.

In corrupt countries, No one cares, kwa sababu hawaingizwi madarakani na Wananchi.
Atakuja CM 1774858 kutetea kuwa the viongozis hawahusiki na hizo ajali🙃

Nchi bayoyo hii dah
 
pengine ziara hiyo itasaidia upatikanaji wa vifaa vya uokozi siku zijazo
 
Back
Top Bottom