Hata ukibisha kwa sasa, Simba huwezi kuitoa kwenye tatu bora ya Afrika

Wanatamani hiyo mechi ya mzunguko wa pili wa ligi tarehe 8 ya mwezi Mei, iahirishwe vile!

Ujanja wote wa kucheza ligi ya Mabingwa Afrika huishia wanapokutana tu na timu ya Wananchi na wale wajelajela wa Priaons!
Mkuu Tate kwenye mechi hizo hakuna mpira ila huwa tunacheza na kina bruce lee
 
No labda useme 10 bora
Kwenye msimamo wa jumla kwa timu zote 26 baada ya mechi 5 Simba Ni ya pili nyuma ya Mamelod Sundowns ya Afrika ya kusini!! Upo hapo? Wote Wana point 13, wote goal difference ni 8 lakini Mamelod Sundowns Wana magoli ya kufunga 10 wakati Simba Wana magoli ya kufunga 9. Upo hapo!! Usiumie, habari ndo hiyo! Tatu Bora Simba ndani!!
 
Sawa nimekubali
 
Wanashika nafasi ya pili kwa sababu wana viporo ngoja wamalize viporo uje na kauli yako
 
Simba ni ya 13 kwa Africa.
Wacha porojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…