KERO Hata ukiwa na pump tabu ya maji iko pale pale kama asiyekuwa nayo kutokana na presha ndogo ya maji. Wizara ya Maji tuambieni ukweli

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Haya mambo ya maji kukatika tulisha yasahau iwe jua iwe mvua. " Kila mtu atakula kwa urwfu wa Kamba yake"
 
"Mtanikumbuka kwa mazuri".
Rest In Peace JPM.
Wakati wako maji na umeme havikukatika kila mahala kuilipokuwa na miundombinu yake.
 
Na mvua zikiwa nyingi...matope yanajaa kwenye mabwawa ya kuzalishia umeme!
 
Bado mifumo yetu ya kusambaza maji kwa matumizi ni mibovo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…