Hata usiku huu nimeangalia promotion madaraja kwa watumishi wa umma

Sio Arafu ni Halafu mbona mnsharibu sana kiswahili..
Arafu ❌️
Halafuβœ”οΈ
 
Mkuu Uko sawa Kabisa na nimependa Hoja zako Unatoa Hoja na Kuhoji Bila Mihemko
 
Siyo za kiutumishi kwa sababu anayepandishwa hahusiani na utumishi.Si ndivyo,"mwalimu "?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Asante kwa kunitambua kuwa mimi mwalimu,hebu niambie nawewe taaluma yako,maana hujui kipi ni kipi,Harafu elewa neno taarifa za kiutumishi
 
Asante kwa kunitambua kuwa mimi mwalimu,hebu niambie nawewe taaluma yako,maana hujui kipi ni kipi,Harafu elewa neno taarifa za kiutumishi
Mimi ni mbeba mizigo stendi ya Magufuli.Kuna kitu kinakupa shida.Ngoja nikuulize swali la kijinga:-
-Unaweza kunipa mfanano wa nyumba na ofisi halafu hapohapo ukanipa tofauti za hivyo viwili?Tutapata jibu tu "mwalimu"!
NB;Walimu wana tabia (siyo asili)ya ubishi tu.
 
Wote Mko sawa ila Tatizo kuenda Mmoja anaamini kuwa Mleta Mada Kajaribu Kutoa taarifa za Siri au Kuvunja Miiko ya Maadili ya Utumishi kwa kuleta Wazi na kuhoji modality ya Upandishwaji wa Daraja kwa watumishi...

Kwanza kabisa Upandishwaji wa Daraja wa Mtumishi unaongozwa na Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma (Standing order for Public servants 2009) kanuni namba D.50 na D.51..

NA Mtu hapandishwi Daraja kama Cohort series au Kwamba walioingia mwaka mmoja au mwezi mmoja wote wanastahili kupanda Daraja kwa kuwa ni Cohort moja..

Appointing Authority itaamua Kama una sifa au Vigezo vya kupandishwa Daraja baada ya Kuona una sifa itapeleka Maombi ya wewe Kuwa approved kupandishwa na itapeleka maombi hayo kwenye Baraza la Madiwani..

Baraza la madiwani likipitisha Basi utapewa Barua ya Kupandishwa Huku ukitakiwa Kuwa ndani ya Uangalizi(Probation) na kama ukivunjs miiko utarudi katika nafadi yako ya Zamani..

NB: Ni marufuku kudai Kupandishwa Daraja kwa HR wako hata kama Ni haki yako, Unaruhusiwa kumkumbusha ila sio Kudai kupanda Daraja hiyo iko chini ya Standing order 2009 (Kanuni za kudumu za utumishi wa Umma) kanuni D53 na D54

 
Ni jibu jema.Siwezi kuandika "nadhani".Ndugu yangu mwalimu nikiandika taarifa za kiutumishi anachanganya na taarifa za siri.Kila kimoja kiwe sehemu yake.
 
HaaΓ£a,wacha nisipoteze muda,nina kipindi muda huu
 
siye tumehoji kwanini anakuja hapa kuuliza mambo yake binafsi na boss wake kinyume na madili ya kazi yake, umeeandika sana na attachment kibao mwisho wa siku mleta mada ajapata jibu ndio wewe na mleta mada mjue si kila tarifa unaweza ipata JF japo tarifa zipo na majibu watu hapa hapa JF watu wanayo sema si mda sahihi wakuzitoa wametulia kusubili wenye mamlaka wazitoe hizo tarifa
 
Habari REJESHO HURU !
Nimependa Feedback yako..

Ila nilikuwa napenda kukufahamisha Kwamba Kuna tofauti kubwa kati ya Promotion (Kupandishwa Daraja) na Kuongezwa Mishahara (Ongezeko la Jumla la Mishahara)..

Ongezeko la Jumla ya Mishahara Hutangazwa na Rais au Waziri mwenye Dhamana Ya Utumishi ila Promotion ipo kwenye ngazi ya Chini kabisa yaani Huanzia kwwnye Halmashauri yako kisha kuenda Juu..

Ni kama nilivyoelezea kwenye Post yangu ya Nyuma..Mchakati huanzia Chini kwa kuteuliwa wenye Sifa za kupandishwa baada huidhinishwa na Kamati ya Madiwani (baraza la madiwani), Baadae Hupelekwa Tamisemi kwa Approve ns ndipo Mtumishi hupandishwa cheo...

Na hiyo hutegemeana na bajeti ya Halmashauri Husika..

Kuhusu Kuvunja kanuni za maadili Ningependa Kujua kavunja kanuni ipi maana mimi naona yuko sawa kwakuwa kauliza Incognito maana hajataja halmashauri hajatukana wala kumsema mtu..
Ila kauliza tu kuhusu Taratibu..

Wafanyakazi mnatakiwa kusoma sana sheria, Miongozo na kanuni zenu maana hamzijui..
Kingine soma Post yangu ya Nyuma Bila kuwa na bias utaelewa nilichoandika

Soma hizi kanuni Za maadili Toleo la mwaka 2023
 
Mkuu bora ungefupisha mada kwa kukaa kimya,unavyoendelea kubishana unajiaibisha na pia unaidhalilisha hata hiyo picha Rais kwenye Avatar yako.
Jamaa anachokwambia ni kitu simple tu unayepaswa kumuuliza kuhusu kupanda daraja ni Mwajiri wako(HR),na ukishindwa kumuuliza Mwajiri wako either kwa sababu ya uoga ama ukosefu wa muda basi mtu mwingine sahihi wa kumuuliza ni mfanyakazi mwenzako maana kuna wafanyakazi wenye uzoefu wa miaka mingi kukuzidi wanajua utaratibu zaidi.
Lakini kuchukua mambo ya kazini kwako na kuja kuyaanika JF inaonyesha ni jinsi gani hauko matured enough to be called an Employee yaani ni sawasawa usiku uwe unafanya mambo ya faragha na mkeo halafu asubuhi unaenda kuwasimulia majirani jinsi mlivyofanya na mkeoπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„Do you get my point?
Okay anyway nimeandika sana usipoelewa na hapa ndio basi tena huwezi kuelewa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…