johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uchaguzi wa Chadema ni Darasa zuri la kujifunza utendaji kazi wa mfumo wa Vyama vingi nchini
Kuna Wakati akiwa bungeni mh Lijualikali ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya alilalamima Mishahara yao kukatwa Tozo ya Chama direct badala ya Wao kulipwa Kwanza Halafu Kwa hiyari Yao ndio Wachangie Chama Chao cha Chadema
Hata juzi Wenje aliposema Tundu Lisu hajawahi kuchangia Chama mbunge wa zamani wa Chadema huko Serengeti mh Rioba alisema Wenje ni muongo Kwa sababu Wabunge walikuwa wanakatwa Mchango wa Chama direct na Bunge Kutoka kwenye Mishahara yao
Hizi deduction kikanuni zimekaaje?
Ahsanteni Sana
Nimekaa pale kuelimishwa 🐼
Kuna Wakati akiwa bungeni mh Lijualikali ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya alilalamima Mishahara yao kukatwa Tozo ya Chama direct badala ya Wao kulipwa Kwanza Halafu Kwa hiyari Yao ndio Wachangie Chama Chao cha Chadema
Hata juzi Wenje aliposema Tundu Lisu hajawahi kuchangia Chama mbunge wa zamani wa Chadema huko Serengeti mh Rioba alisema Wenje ni muongo Kwa sababu Wabunge walikuwa wanakatwa Mchango wa Chama direct na Bunge Kutoka kwenye Mishahara yao
Hizi deduction kikanuni zimekaaje?
Ahsanteni Sana
Nimekaa pale kuelimishwa 🐼