Hata uwe na masters ya masoko au business ni ngumu kumfikia darasa la nne mwenye ndugu wafanyabiashara wa kumpa uzoefu na connections

Hata uwe na masters ya masoko au business ni ngumu kumfikia darasa la nne mwenye ndugu wafanyabiashara wa kumpa uzoefu na connections

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections

  • chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba
  • Hajui kutumia mfumo wa kusajili biashara mambo ni mapya kwake
  • hana uzoefu ku negotiate na maafisa wa tra, jiji, n.k.
  • tax clearance kwake ni maluwe luwe hadi afundishwe na wazoefu
  • hajui kutumia mashine ya kutoa risiti
  • changamoto za biashara kwake ni ngeni, anaweza kupigwa / kutapeliwa kirahisi maana ni mgeni
  • inabidi aanze kutafuta connections from scracth na kutumia mda mrefu kujenga imani

Darasa la nne anaejua kuandika, kupiga hesabu za kawaida na kusoma

  • Ndugu zake wamekaa nae site / dukani / ofisini kwa miaka nane kumpa uzoefu
  • wanaenda wote kujumua mzigo anayajua machimbo na kajenga mazoea na wauzaji
  • wanavyoenda kufatilia mzigo bandarini baada ya muda anaweza kutumwa mwenyewe kufatilia
  • anavijua vibali na leseni
  • changamoto za biashara anaziona live na jinsi zinavyotatuliwa
  • n.k.
 
Kwa nchi zetu akili ya biashara haipatikani kwenye vitabu wala vyuoni. Ulio waacha mtaani wewe ukaenda kula kitabu mwisho wa siku unarudi na mentality ya ajira wakati wenzako wanatanua biashara zao.

Pale unapo ona biashara fulani haiwezekani unashangaa dogo fulani anaweka biashara fulani hapo na anasogeza maisha
 
Kwa nchi zetu akili ya biashara haipatikani kwenye vitabu wala vyuoni. Ulio waacha mtaani wewe ukaenda kula kitabu mwisho wa siku unarudi na mentality ya ajira wakati wenzako wanatanua biashara zao.

Pale unapo ona biashara fulani haiwezekani unashangaa dogo fulani anaweka biashara fulani hapo na anasogeza maisha
hata kubaki mtaani haina guarantee kama huna ndugu wa kukushika mkono, unaweza kuishia kuwa na kioski miaka nenda rudi, mwenzako akimaliza chuo kama kaamua kufanya business ikiwa ana ndugu wa kumpa uzoefu na connections, baada ya muda anapita na gari yake kukuungisha peni kila akienda kufatilia ujenzi wa mjengo wake.

Kam huna circle ya biashara heri ukomae na shule unaweza bahatika kuajiriwa kwenye usaili hata bila connections
 
Pamoja na changamoto nyingi za elimu yetu na zaidi kuwa na wahitimu wenye kutia shaka uhitimu wao, lakini ni vizuri tujue nini matarajio ya mtaala unaofundishwa kwa kozi husika.

Haitarajiwi mhitimu wa shahad ya uzamili awe mbobevu kwenye kutumia mashine au tax clearance procedure. Shahada za uzamili wa uendeshaji wa biashara (MBA) si za kumpa mhitimu ujuzi wa kuendesha. biashara ya genge.
 
Pamoja na changamoto nyingi za elimu yetu na zaidi kuwa na wahitimu wenye kutia shaka uhitimu wao, lakini ni vizuri tujue nini matarajio ya mtaala unaofundishwa kwa kozi husika.

Haitarajiwi mhitimu wa shahad ya uzamili awe mbobevu kwenye kutumia mashine au tax clearance procedure. Shahada za uzamili wa uendeshaji wa biashara (MBA) si za kumpa mhitimu ujuzi wa kuendesha. biashara ya genge.
Lakini tusisahau karibu kila kozi chuoni kuna somo la entrepreneurship / ujasiriamali,
 
gearbox
Hata kwenye kozi za ujasiriamali, hawafundishwi jinsi ya kupata cheti cha kodi, au kutumia EFD au taratibu za ufunguaji biashara.
Shida inapoanzia mwalimu wa somo la ujasiriamali anaajiriwa kwa kigezo cha ufaulu wa kwenye makaratasi uliopimwa kwa uwezo wa kubugia madefinition na kuyatapika kwenye karatasi, hawajali kama ni mjasiriamali kwa vitendo.

Mwalimu wa ujasirimiali anategemea mshahara hajawahi kufanya biashara yoyote
 
Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections

  • chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba
  • Hajui kutumia mfumo wa kusajili biashara mambo ni mapya kwake
  • hana uzoefu ku negotiate na maafisa wa tra, jiji, n.k.
  • tax clearance kwake ni maluwe luwe hadi afundishwe na wazoefu
  • hajui kutumia mashine ya kutoa risiti
  • changamoto za biashara kwake ni ngeni, anaweza kupigwa / kutapeliwa kirahisi maana ni mgeni
  • inabidi aanze kutafuta connections from scracth na kutumia mda mrefu kujenga imani

Darasa la nne anaejua kuandika, kupiga hesabu za kawaida na kusoma

  • Ndugu zake wamekaa nae site / dukani / ofisini kwa miaka nane kumpa uzoefu
  • wanaenda wote kujumua mzigo anayajua machimbo na kajenga mazoea na wauzaji
  • wanavyoenda kufatilia mzigo bandarini baada ya muda anaweza kutumwa mwenyewe kufatilia
  • anavijua vibali na leseni
  • changamoto za biashara anaziona live na jinsi zinavyotatuliwa
  • n.k.
Unaposema biashara unamaanisha nini?
Ungeanza hapo kwanza maana watu wengi hatujui maana ya biashara.
 
Kuna vitu nimeangalia nimeamini kwel tanzania bado tupo hopeless kichwan shule gani au chuo wanakufundisha kukata tiket kweny mashine nayo unaona et mtu anaamuka na kutukana wasomi na kuna vitu vya kuelekezwa fany hivi basi siku moja ya pili lazim atakifany ndiio maan ya kitu kinaitwa exprience ya kazi akishaipat atafany kazi kwa weled umetoka chuoni mtu anakupa safisha injini na kufunga ili tu akukomoe akucheke udhalilike 😝😝😝😝😝
 
Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections

  • chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba
  • Hajui kutumia mfumo wa kusajili biashara mambo ni mapya kwake
  • hana uzoefu ku negotiate na maafisa wa tra, jiji, n.k.
  • tax clearance kwake ni maluwe luwe hadi afundishwe na wazoefu
  • hajui kutumia mashine ya kutoa risiti
  • changamoto za biashara kwake ni ngeni, anaweza kupigwa / kutapeliwa kirahisi maana ni mgeni
  • inabidi aanze kutafuta connections from scracth na kutumia mda mrefu kujenga imani

Darasa la nne anaejua kuandika, kupiga hesabu za kawaida na kusoma

  • Ndugu zake wamekaa nae site / dukani / ofisini kwa miaka nane kumpa uzoefu
  • wanaenda wote kujumua mzigo anayajua machimbo na kajenga mazoea na wauzaji
  • wanavyoenda kufatilia mzigo bandarini baada ya muda anaweza kutumwa mwenyewe kufatilia
  • anavijua vibali na leseni
  • changamoto za biashara anaziona live na jinsi zinavyotatuliwa
  • n.k.
Huyo mwenye MBA akipata huo uzoefu hata wa mwezi mmoja tu atakuacha mbali sana. Elimu ni muhimu sana acheni utani!
 
Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections

  • chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba
  • Hajui kutumia mfumo wa kusajili biashara mambo ni mapya kwake
  • hana uzoefu ku negotiate na maafisa wa tra, jiji, n.k.
  • tax clearance kwake ni maluwe luwe hadi afundishwe na wazoefu
  • hajui kutumia mashine ya kutoa risiti
  • changamoto za biashara kwake ni ngeni, anaweza kupigwa / kutapeliwa kirahisi maana ni mgeni
  • inabidi aanze kutafuta connections from scracth na kutumia mda mrefu kujenga imani

Darasa la nne anaejua kuandika, kupiga hesabu za kawaida na kusoma

  • Ndugu zake wamekaa nae site / dukani / ofisini kwa miaka nane kumpa uzoefu
  • wanaenda wote kujumua mzigo anayajua machimbo na kajenga mazoea na wauzaji
  • wanavyoenda kufatilia mzigo bandarini baada ya muda anaweza kutumwa mwenyewe kufatilia
  • anavijua vibali na leseni
  • changamoto za biashara anaziona live na jinsi zinavyotatuliwa
  • n.k.
Vunja bei kaweza
 
Jamani jamani aibu zingine ni kuficha, huyo darasa la nne atatumia miaka minne kuyajua hayo lakini aliyesoma hatatumia huo muda kuyajua hayo, atakwama day one lakini day two ataweza, mimi nilipomaliza form six kwa muda mfupi niliyajua mambo ya clearing and forwarding, ndan ya miez mitatu nilikuwa nimefahamiana na madereva, maafisa wa TRA na maafisa wa uhamiaji pale boarder, tayari nilikuwa najua ili gari ivuke dereva anahitaji kuwa na vitu gani.
 
MBA yangu inanisaidia sana katika biashara, nilipata wakufunzi wenye weledi na uzoefu haswa, connection za mtaani mbona easy tu kupata kama ukiwa unajiongeza.
 
MBA yangu inanisaidia sana katika biashara, nilipata wakufunzi wenye weledi na uzoefu haswa, connection za mtaani mbona easy tu kupata kama ukiwa unajiongeza.
kuna uzi ulianzisha mwaka jana wa kuomba ushauri kununua passo au vitz, ulichukua ipi ?
 
Back
Top Bottom