mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Kote kuna umuhimu wake kutegemea na factors fulani ila hakuna direct formula kwamba upande upi ni bora kuliko mwingine.hata kubaki mtaani haina guarantee kama huna ndugu wa kukushika mkono, unaweza kuishia kuwa na kioski miaka nenda rudi, mwenzako akimaliza chuo kama kaamua kufanya business ikiwa ana ndugu wa kumpa uzoefu na connections, baada ya muda anapita na gari yake kukuungisha peni kila akienda kufatilia ujenzi wa mjengo wake
Mtu mwenye elimu plus connection plus kujiongeza kibiashara anatoboa.
Lakini pia aliyeishia darasa la 7 akaingia kwenye biashara mapema yuko na timeframe kubwa kwenye kujifunza/kuizoea biashara+connections/capital+kujiongeza pia anatoboa,mtu huyu akikosa capital/connection ndio utamuona miaka na miaka anauza kiosk tu japo anaijua sana biashara lakini hana capital nzuri ya kuikuza biashara yake iende kwenye level nyingine