Hata wanaume hulia

Hata wanaume hulia

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Tough-Men-Cry.png


Chozi ama machozi ni ishara ya kuumia na maumivu yaliyoshindwa kuhimili hisia za kawaida za kibinadamu... Wanawake ni mabingwa kwenye hili. Wanaume huchukuliwa Kama shupavu wasiotoa machozi yao hovyo, kuonyesha machozi mbele ya kadamnasi kwa Mwanaume ni ishara ya Udhaifu na kushindwa kuhimili hisia hasi but men do cry. [emoji779] [emoji779] [emoji779]

Si machozi yale ya mapenzi ama kwenye misiba yale ni ya kawaida sana kufuatana na hisia za kawaida za kibinadamu. Kuna wanaume hulia mioyoni mwao Kimyakimya. They are so brave on their faces lakini rohoni wanabubujikwa machozi. Wana mengi sana wana magumu yanayowakabili. They may save you with bright smiles but internally they are crying.

Angalia ndani ya ofisi kwenye usafiri wa jumuiya na hata sehemu za starehe. [emoji779] [emoji779] [emoji779] they are secluded always very calm n quite don take them for granted. Wana maumivu makali rohoni sometimes unbearable.... Wanaume hulia Kimyakimya

R. I. P. Mwl. Frank...! A very dear friend... The moment knows the truth.... [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]

cf83679a1e2055001e9ec8e4fb4d8767.jpg
 
Kulia tuna lia sema ladies don't take advantage..
 
Mwanaume akilia ujue ni jambo zito linalomsibu sio bure................mwanaume hutakiwi kulia, unatakiwa kububujikwa na machozi endapo yamekufika mazito,
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji115] [emoji116]
Umenigusa xn mkuu, ni tatizo linalosababisha msongo wa mawazo.
 
Back
Top Bottom