Aiyaa, kakakiiza wamei block, hebu fanya maarifa mengine basi.
Ila labda nikuulize swali kakakiiza, mbona hawa wazungu hawaangushwi na mapepo kama sisi waaafrika, kulikoni au mapepo ya kizungu ni mastaarabu sana?
Mzee wewe ulidhani uchawi ni wa watu weusi tuu??? sasa hapa kuna mtoto wa mfalme
anaongea na wafu. na wamefungua shule ya kufundisha watu ujuzi huo.
Pia kila mwaka wana mkutano wa wachawi wote wa nchi. wanakusanyika kujadili mambo yao ya kichawi.
Wao wanaamini kuwa uchawi ni ideology kama ilivyo ideology yoyote ile. (iwe ya kidini au kisiasa)
hivi shetani si alikuwa malaika? na sijaona malaika anachorwa kuwa mwafrika bali mzungu. that is shetani ni mzungu, If that is so, wazungu ndiyo wachawi wakubwa.
hivi shetani si alikuwa malaika? na sijaona malaika anachorwa kuwa mwafrika bali mzungu. that is shetani ni mzungu, If that is so, wazungu ndiyo wachawi wakubwa.