Hata Yanga wanamuhitaji Haji Manara

Hata Yanga wanamuhitaji Haji Manara

Ni miongoni mwa makala za ovyo kabisa ambazo nimewahi kuziona katika maisha yangu...yaani mtu mropokqaji anasifiwa ??!! eti mtu anayewadhalilisha wengine anasifiwa??!! Mtu kama huyu nchi nyingine angekuwa tayari ameshafungiwa...Kwamba huyo jamaa bado yupo kwenye nafasi hiyo ni kutokana na mfumo mbaya siyo wa soka tu bali hata jamii nzima kwa ujumla wake...jamii yetu inayopenda mipasho, gossips, majungu na uropokaji..mfumo wetu ndio unaotaka watu wa aina hii...Hata yanga miaka siyo mingi walikuwa na mtu wa aina hiyo...hivi unadhani neno la 'wa kimataifa' lilianzia wapi?? 'wa matopeni' lilikujaje?? Watu wakawa wanapenda mipasho ya aina hii...badala ya kuchambua soka, jamii yetu inapenda habari za 'kukwea pipa'...Yaani watu wazima na akili zetu tunakaa kujadili vijiweni eti sasa 'timu yetu inapanda ndege'...it is no wonder soka ya Tanzania haitaendelea kamwe kwa staili hii...
Yametimia
 
Back
Top Bottom