The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Muheza mkoani Tanga katika siku ya tano ya ziara yake ya kikazi, amempisha mwanafunzi kiti chake cha urais akalie kwa muda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DA HUYO MTOTO KAOSHA KWELI ATAKUWA ANAOTA KILA SIKURais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Muheza mkoani Tanga katika siku ya tano ya ziara yake ya kikazi, amempisha mwanafunzi kiti chake cha urais akalie kwa muda.
View attachment 3251732
Makamba akikaa hapo hatoki ndio anakuwa anepinduliwa tayariAmujaribu na makamba
No reforms no electionRais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Muheza mkoani Tanga katika siku ya tano ya ziara yake ya kikazi, amempisha mwanafunzi kiti chake cha urais akalie kwa muda.
Kama mkosi utamfanya kuwa Ras Kuna shida gani?Hapo wameshambebesha mamikosi tele
Washenzi sana!Alafu bodaboda anakuja piga mimba anaharibu ndoto yake😆
😅😅😅Makamba akikaa hapo hatoki ndio anakuwa anepinduliwa tayari
Mbona nimeona km kuna bahasha inaandaliwa????Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Muheza mkoani Tanga katika siku ya tano ya ziara yake ya kikazi, amempisha mwanafunzi kiti chake cha urais akalie kwa muda.