Meno
Member
- Apr 19, 2013
- 87
- 24
Wakuu ni juavyo mimi
Katiba ni mwongozo wa maisha ya watu wa kundi au jamii fulani, eneo fulani husika,katika kufikia malengo yao watakayo jiwekea kwenye hiyo katiba.
Sasa basi juu ya katiba mpya ya Tanzania
..Kufuatia hali tete inayo endelea bungeni na baadhi ya matamshi ya mawaziri na wabunge,
..Mchakato mzima wa uundwaji wa katiba mpya,
..Ukweli wa ni nani ana husika au kushiriki katika kupindisha au kunyoosha uundwaji wa katiba mpya,
Wadau naombeni michango yenu hivi ni nani au akina nani wanacheza rafu ktk hili, ili nini?
Katiba ni mwongozo wa maisha ya watu wa kundi au jamii fulani, eneo fulani husika,katika kufikia malengo yao watakayo jiwekea kwenye hiyo katiba.
Sasa basi juu ya katiba mpya ya Tanzania
..Kufuatia hali tete inayo endelea bungeni na baadhi ya matamshi ya mawaziri na wabunge,
..Mchakato mzima wa uundwaji wa katiba mpya,
..Ukweli wa ni nani ana husika au kushiriki katika kupindisha au kunyoosha uundwaji wa katiba mpya,
Wadau naombeni michango yenu hivi ni nani au akina nani wanacheza rafu ktk hili, ili nini?