heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Usiogope dogo Mungu fundi watto hao ufananaga na mama zao trust me akuna kitu venye kitahariba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujasema uwongo ila makavu sanaa!Au nimesema uongo my Friend?
Sikukudanganya bhana, nilikuwa nasubiri weekendhujasema uwongo ila makavu sanaa!
alafu ulinidanganya!
Usicheke😏Me najuaga tu movie, kumbe watu wanafanya kweli😂😃😃
Duh na wewe una maneno hivi shem😊Sasa alikuomba umsaidie apate ujauzito na sasa anaogopa mtoto akifanana na wewe mume wake atamind? Duuh.
Ila adui wa mwanaume ni mwanaume. Kwahiyo umezini na mke wa mwanaume mwenzio ukaona haitoshi ukamwaga ndani kabisa na sasa mnataka mumsingizie mimba alee bao lako.
oky, night njema kwako.Sikukudanganya bhana, nilikuwa nasubiri weekend
Mmmh😊Ndoa sikuhizi ni Kama drama tu🤣🤣🤣🥴
kwani mumewe anakujua wewe?Nimekuwa kwenye mahusiano na dada mmoja, kwa zaidi ya mwaka sasa, amekuwa na tatizo la kupata ujauzito kwenye ndoa yake kwa zaidi ya miaka mnne ya ndoa, na amekuwa akiniomba nimsaidie kupata ujauzito, kwa madai ya kuwa mumewe anatatizo la uzazi ila hajijui.
Sasa bhana baada ya kuusoma mzunguko wake kwa muda mrefu, nimegundua kuwa amepitiliza siku 5, hivyo nahisi ameshadaka, nimekuja na kipimo cha mimba amekataa amesema atapata presha Bure,mtoto akitoka amefanana na Mimi mume wake atajua na yy atafukuzwa, sijajua bado nia yake nini.
Je, anataka akutoe au sielewi?