Hataki kupima ujauzito

Usiogope dogo Mungu fundi watto hao ufananaga na mama zao trust me akuna kitu venye kitahariba
 
Duh na wewe una maneno hivi shem😊
 
Hivi,kuna watu physically ni watu,lakini kiundani,hamna kitu. Nahisi hata utumbo ulishaliwa na paka shume.
Mtu unaona uzinzi,mke wa mtu, unajiona mwanaume wa kweli. Haya, hongera kwa kazi nzuri na taarifa. Bila hata aibu!
 
kwani mumewe anakujua wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…