Habari wana jf, mimi ni kijana wa miaka 32. Nipo kwenye mahusiono ya miaka 5 na binti wa watu mmoja. Nimekuja hapa jf kuomba ushauri kwa wakubwa zangu wenye uzoefu wa hili jambo maana linanitatiza.
Kipindi tuna miaka 3 kwenye mahusiano, mpenzi wangu alipata mimba ila bila kunipa taarifa aliitoa na taarifa akanipa baada ya kuitoa na nilidhibitisha kama alikuwa nayo na akaitoa. Nilimmind sana na tukakaa kama mwezi bila mawasiliano. Wasiwasi wangu ulikuwa ni kwamba atakuwa ameitoa mimba bila kunishirikisha kwa sababu hataki kuzaa na mimi.
Baadaye aliniomba msamaha na kunieleza historia yake fupi ya ukweli ya maisha aliyokulia. Kalelewa na single mummy, familia yao wamezaliwa watoto wa kike 3 ambao kila mmoja ana baba yake na baba yake hamjui hadi sasa.
Dada zake wote wamezalishwa tuu na hawajaolewa, dada yake mmoja kazalishwa na wanaume 3 tofauti na analea watoto wote mwenyewe na haishi na mume. Na dada mwingine ana watoto 2 naye anawalea bila mume.
Justification ya abortion aliyoifanya ni kutokana na historia ya maisha yake kuwa magumu kwahiyo asingependa mwanae naye akue bila baba kama yeye alivyokua. Na pia historia ya dada zake ambao wote wamezalia kwao kwa hiyo asingependa nayeye awe kama wao. Ilibidi nimwelewe na tukaendelea kudate hadi sasa tuna miaka 5 kwenye mahusiano.
Tangu naanza kudate naye nimemfuatiria sana kujua mienendo yake maana kwenye simu yake nilimwekea program ambayo nimeitengeneza mwenyewe ambayo naweza kusikiliza simu zote anazopiga na kupigiwa, naweza soma message zote anazotuma na kutumiwa, naweza angalia picha zote ambazo zipo kwenye simu yake, naweza soma message za whatsup, fb n.k pia naweza mrekodi sehemu yoyote aliyopo bila yeye kujua. Katika kumfuatiria kote issue ninazokutana nazo ni za kawaida ila sijawahi kuona akiwasiliana na mwanaume mwingine as if anadate naye. In short ni mwaminifu kwangu.
Nimekuja na pendekezo moja kwake na kumwambia kwamba kabla sijakuoa nataka nikupe mimba na uzae kwanza kwa sababu madhara ya kutoa mimba kwa mabinti wengi ni ugumba, au kupata mimba zikatoka. Kwahiyo mimi siwezi kukuoa na ukawa na matatizo hayo ambayo najua ulitoa mimba na hayo matatizo unaweza kuwa nayo so inabidi nikutest nijue kama nikikuoa ntaweza endeleza kizazi changu. Sio nakuoa tunaanza kwenda kwa waganga kutafuta mchawi nani kwanini hushiki mimba au tumalize mahospitali tukitakuta dawa ya uzazi.
Baada ya kumwambia hivyo kakataa katakata, kwamba yeye anataka azae akiwa kwenye ndoa.
Mimi sina wazo baya, wala sitaki kumfanyia uhuni wa kumzalisha na kumkimbia, mimi sina mwanamke mwingine zaidi yake ila wasiwasi wangu ni uzazi.
Mabinti wengi wanamatatizo ya kushika mimba kwa sababu walishatoa mimba kabla ya ndoa. Mimi sitaki kufanya hilo kosa.
Naombeni ushauri ndugu zanguni, je mimi nakosea au niko sahihi au nifanyeje ili mahusiano yaendelee vizuri?
Kipindi tuna miaka 3 kwenye mahusiano, mpenzi wangu alipata mimba ila bila kunipa taarifa aliitoa na taarifa akanipa baada ya kuitoa na nilidhibitisha kama alikuwa nayo na akaitoa. Nilimmind sana na tukakaa kama mwezi bila mawasiliano. Wasiwasi wangu ulikuwa ni kwamba atakuwa ameitoa mimba bila kunishirikisha kwa sababu hataki kuzaa na mimi.
Baadaye aliniomba msamaha na kunieleza historia yake fupi ya ukweli ya maisha aliyokulia. Kalelewa na single mummy, familia yao wamezaliwa watoto wa kike 3 ambao kila mmoja ana baba yake na baba yake hamjui hadi sasa.
Dada zake wote wamezalishwa tuu na hawajaolewa, dada yake mmoja kazalishwa na wanaume 3 tofauti na analea watoto wote mwenyewe na haishi na mume. Na dada mwingine ana watoto 2 naye anawalea bila mume.
Justification ya abortion aliyoifanya ni kutokana na historia ya maisha yake kuwa magumu kwahiyo asingependa mwanae naye akue bila baba kama yeye alivyokua. Na pia historia ya dada zake ambao wote wamezalia kwao kwa hiyo asingependa nayeye awe kama wao. Ilibidi nimwelewe na tukaendelea kudate hadi sasa tuna miaka 5 kwenye mahusiano.
Tangu naanza kudate naye nimemfuatiria sana kujua mienendo yake maana kwenye simu yake nilimwekea program ambayo nimeitengeneza mwenyewe ambayo naweza kusikiliza simu zote anazopiga na kupigiwa, naweza soma message zote anazotuma na kutumiwa, naweza angalia picha zote ambazo zipo kwenye simu yake, naweza soma message za whatsup, fb n.k pia naweza mrekodi sehemu yoyote aliyopo bila yeye kujua. Katika kumfuatiria kote issue ninazokutana nazo ni za kawaida ila sijawahi kuona akiwasiliana na mwanaume mwingine as if anadate naye. In short ni mwaminifu kwangu.
Nimekuja na pendekezo moja kwake na kumwambia kwamba kabla sijakuoa nataka nikupe mimba na uzae kwanza kwa sababu madhara ya kutoa mimba kwa mabinti wengi ni ugumba, au kupata mimba zikatoka. Kwahiyo mimi siwezi kukuoa na ukawa na matatizo hayo ambayo najua ulitoa mimba na hayo matatizo unaweza kuwa nayo so inabidi nikutest nijue kama nikikuoa ntaweza endeleza kizazi changu. Sio nakuoa tunaanza kwenda kwa waganga kutafuta mchawi nani kwanini hushiki mimba au tumalize mahospitali tukitakuta dawa ya uzazi.
Baada ya kumwambia hivyo kakataa katakata, kwamba yeye anataka azae akiwa kwenye ndoa.
Mimi sina wazo baya, wala sitaki kumfanyia uhuni wa kumzalisha na kumkimbia, mimi sina mwanamke mwingine zaidi yake ila wasiwasi wangu ni uzazi.
Mabinti wengi wanamatatizo ya kushika mimba kwa sababu walishatoa mimba kabla ya ndoa. Mimi sitaki kufanya hilo kosa.
Naombeni ushauri ndugu zanguni, je mimi nakosea au niko sahihi au nifanyeje ili mahusiano yaendelee vizuri?