Hataki kuzaa kabla ya ndoa

Daah yani hata sielewi mkuu kuna hali napitia ngumu sana nimeona sehemu umeandika kwamba kama hatakuwa na uwezo kuzaa watatumia hyo nikajikuta natamani kujua kila kitu kuhusu hicho kitu.
Sijajua wanavyopatikana, ila ninachojua surrogate mother ni mwanamke ambaye anabeba mimba na kuzaa kwa ajili ya mwanamke mwingine ambaye hana uwezo wa kuzaa kwa sababu mbalimbali.

Mara nyingi huyo surrogate mother anakuwa anapandikizwa yai na mbegu kutoka kwa hiyo couple ambayo imemuomba awasaidie kubeba mimba kwa makubaliano, akishajifungua anawapa mtoto anapewa chake.
 
Kwa miaka 32... Mimi niseme ulitaka watu wakuPM kuhusu iyo program yako, ikiwezekana uwapige pesa na kitu ambacho hakiwezekani.




Nakupa maneno mawili tu


*Oa, Azae*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuamini maana umekaa kujihami sana, pili yawezekana pia mimba aliyotoa haikuwa hata yako. Kajipime kwanza hospitali kbala ya kujihakikishia kuwa wew huwez kuwa na tatizo.
 
Wewe hebu usitake kumchanganya mtoto wa watu. Huyo binti anachokifanya ni kitu cha kipekee sana, anajaribu kujenga msingi mzuri katika maisha yake na kuondoa desturi mbovu ya familia yao ya kupata watoto nje ya ndoa na kuzaa zaa na wanaume hovyo bila adabu. Kwa kifupi anajaribu kubreak generational curse ya familia yake....

Msaidie kuliweza hilo. Huyo binti atakuwa mama mzuri kwa watoto wako kama utampa sapoti anayostahili. Kuoa wala si jambo la kufanya kwa gharama kama uwezo hauruhusu, fanya kitu very simple tena ikibidi kafungie mkoani kwao kama unataka kupunguza gharama zisizo za lazima, unaalika ndugu zako na rafiki wa karibu wachache, mnaenda kusheherekea habari kwisha, ukianza kuchanganya madawa muda huu utakuja kufeli......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa nakuunga mkono, una akili sana..... Kama upo single njoo inbox

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga we jamaa. Binti yuko sahihi sana. She just needs assurance from you. We muhakikishie uone kama atakataa.

Kama umejipanga vizuri, kaeni chini mpange kupeana mimba. Ikishaingia tuu fanyeni mipango ya harusi chap chap within 3 months muwe mmeshafunga ndoa.

Ukipita huo muda hujamuoa basi awe huru kuitoa.

Mpe hiyo ahadi kama atakataa.
Unforgetable
 
Nashukuru sana mkuu, kuna siku nitakupa mrejesho katika hili. Ubarikiwe sana.
 
Kwani kuzaa kabla ya ndoa ndo pete ya uchumbaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Niko upande wa huyo binti
 
hao Dada zake walikuwa na vizaz vya majaribio au ni mawazo yang tu
 
Unawajua wanadamu wewe? Kuna mtu anasaliti bila kutumia cm. Ushukukuru katoa mimba sio yako hiyo. Halafu mkuu hiyo ni laana kamwe haiwezi kuwatoka hiyo familia. Na wewe miaka mitano na mtoto wa watu kwanini usimuoe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe endelea ku MFUATIRIA
Na utembee kifua MBEREEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…