Hataki Kuzaa na Mumewe sababu ana Sura Mbaya, anataka ambambikie kwa kuzaa na Handsome Boy

Hataki Kuzaa na Mumewe sababu ana Sura Mbaya, anataka ambambikie kwa kuzaa na Handsome Boy

Mtagombna bure mkuu,lazma mwisho wa sku udai haki yako(damu yako)achana nae
 
Mimi siwezi fanya hilo ndugu yangu. HAIWEZEKANI... Ni upuuzi mkubwa halaf ni unyama pia. Ila nmejifunza neno kwa baadh ya wanawake. Ni wa kuwaangalia sana.hii ni roho ya kichawi kabisa.

Mtagombna bure mkuu,lazma mwisho wa sku udai haki yako(damu yako)achana nae
 
Chai za GuDume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ukizifuatilia story hizi za broo GuDume utakuta zina mafunzo makubwa hasa kwa sisi wanaume
 
Duuh! Hii Kali ya mwaka kwani kipindi anaumua kuolewa naye hakufikiria swala la watoto kuwa au kutokuwa cute? Anachokitafuta atakipata. Wanawake wa aina hii ndiyo wanapunguza imani ya wanaume kwa wanawake.
Siku likibumbuluka atatamani aridhi immeze.

Na nyie wanaume mnapotaka kuoa muwe makini msidhani pesa ndiyo kila kitu, pesa hainunui upendo wala amani jamani.
 
Hii ndo shida ya kumpenda mwanamke kizezeta zezeta...maisha yenu yote anakuona ww ni zezeta tu..
 
hizi ishakua nikama game, mwisho wa sku nilazima mmoja ashinde. mungu adeal nahabar nyingne izimambo atuachie tu, sio ajabu jamaa katumia mabavu ya pesa kubeba huyo kicheche xo unategemea atavuna nin?? acha akamletee watoto cute aje alee
 
Unaanza oooh mwanaume sio sura, ila sasa pale binti atapofanana na baba yake ndipo utaelewa maharage ni kiungo tu cha kande.
 
Kupata mume anaekupenda aisee halafu unamchezea hv jamaniii dah!
 
Daaah kweli dunia simama nishuke. Apambane na hali yake.

Mwambia aendele kula bata
 
Huyu dada amenishangaza sana.nikajua kweli duniani kuna maswahibu,visa na mikasa. Ukistaajabu ya musa utaona ya ....

Huyu dada namfaham toka anasoma chuo.ni aina ya wale wanawake wanapenda sana show off.sana.anaamini yeye anapaswa kuwa na vitu vizuri tu.nlishawah kumdate baadaye tukaachana. Ameolewa sasa ni mwaka wa pili. Hana mtoto.

Binafsi huwa sipend kuuliza kwa nini mtu hajaamua kuzaa au n.k hiyo hainihusu.jana alinitafuta we met smwhere tukangea mengi na mwishon akanambia kwa uchungu kuwa ana hamu sana na mtoto.nikamjibu tu sasa si aamue kupata.akajibu issue si kuwa hawez pata mimba. Ila hataka azae na mumewe.nikashtuka kidogo.

Anasema mumewe ni kweli anampenda sana na ana pesa ile mbaya. Sema hataki kuzaa naye sababu hana sura nzuri na waswas wake anaweza akazaa mtoto amefanana na babaye so hatokuwa cute.nlistaajabishwa sana na maneno haya.

Nikawaza ni kweli huyu dada hakuwah hata kupost picha zake na mumewe za harus.hajawah hata kumwonesha anywhere.ni mwanamke ambaye hayupo comfortable na mumewe.jioni nikaingia facebook kuangalia picha.hakuna sehem ambayo amemtaja mumewe wala kumweka.insta nako pia.nikaanza kukumbuka ni mwanamke anayependa sana show off na perfect stuff.so haoni vizur kumweka mumewe wazi coz the man isnt handsome.ila ana pesa sana na anampenda mkewe.

So mke ameshatoa mimba tatu kwa maneno yake mwenyewe.na sasa amenitafuta... Anataka ampate mwanaume wa kumpatia mimba ila baada ya hapo wasijuane tena.anaongea kirahisi sana but she is serious.i just told her aint me baby.aint me.

Wakati anaolewa naye alizingatia kigezo cha pesa na ni kweli wanaenda sana kula bata dubai na some places but... Demu hana furaha sana na jamaa yake.na anasema hata sex anafanya naye basi tu... Sometime inabidi avute hisia ya..... Nlisikitika sana.i wish na sisi wanaume tuwe tunajichunguza.
Duuh kazi ipo
 
Back
Top Bottom