Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

Hao madem ni hatari sana, wanasumbua hata ukioa na wana roho ngumu kushinda jiwe na niwabinafsi sana
Mkuu ebu fafanua kidogo mbona ni mcha Mungu sn yaan ibada ninkila jpili mwisho wa mwez na ckukuu zote lazima awe kanisan kuna siku huwa wanaalikwa nakanisa mengine na ni mwanakwaya mzur sn
 
Mkuu ebu fafanua kidogo mbona ni mcha Mungu sn yaan ibada ninkila jpili mwisho wa mwez na ckukuu zote lazima awe kanisan kuna siku huwa wanaalikwa nakanisa mengine na ni mwanakwaya mzur sn

Kwenda kanisani, kuwa mwanakwaya mzuri haimaanishi kuwa ni mcha Mungu sana tena hao wa hivo ni hatari mno
 
Kwenye lugha ya Kiswahili hakuna kuoana katika ndoa ya watu.

Mwanamme anaoa, mwanamke anaolewa.

Hakuna kuoana hapo.
lugha zina sifa ya kukua, 'kuoana' ni wazo jilya toka lugha za kigeni lishaingia kwenye lugha, kubali tu, 'kuoana' kupo kwenye kiswahili
 
lugha zina sifa ya kukua, 'kuoana' ni wazo jilya toka lugha za kigeni lishaingia kwenye lugha, kubali tu, 'kuoana' kupo kwenye kiswahili
Hapana, mnakiingereza Kiswahili.

Kiswahili si lugha tu, ni lugha iliyojengeka katika utamaduni fulani.

Kama unataka kuandika Kiswahili kisicho rasmi, unaweza kujiamulia vyovyote unavyotaka.

Lakini katika Kiswahili, mume anamuoa mke, mke anaolewa na mume, hakuna kuoana.Kuoana kunamaanisha mwanamke anamuoa mwanamme pia, katika Kiswahili mwanamke hamuoi mwanamme, mwanamke anaolewa na mwanamme.
 
Ndo nasema huwa anakupa tu sababu hana namna ila huwa anaumia mkuu ndo maana anakwepa..!! Wanawake wanaoweka vumilia sex ya nguvu na muda mrefu ni wachache sanaa...
 
Ndo nasema huwa anakupa tu sababu hana namna ila huwa anaumia mkuu ndo maana anakwepa..!! Wanawake wanaoweka vumilia sex ya nguvu na muda mrefu ni wachache sanaa...
Sababu ni nn hasa !?
 

Mkuu usijali mimi mwenyewe niliwahi kuwa na demu wa aina hiyo bila kutumia nguvu hauli papuchi,nikajikuta na mimi nimezoea hali hiyo ni mwendo wa mitama tu [emoji28]ila mimi kwa wiki nilikuwa nakula mzigo mara 5 lkn sasa kwa mbinde
 
Namsapoti huyo dada yani ashikilie hapo hapo hakuna kuliwa mtu mpaka ndoa, kama vip nitumie no zake nimwambie aendelee kuban ivo ivo.
 
Kwenda kanisani, kuwa mwanakwaya mzuri haimaanishi kuwa ni mcha Mungu sana tena hao wa hivo ni hatari mno
Ananieleza meng kuhusu yy i trust him we nipe nyezo nipe reasons nizofanyie investigatio
Namsapoti huyo dada yani ashikilie hapo hapo hakuna kuliwa mtu mpaka ndoa, kama vip nitumie no zake nimwambie aendelee kuban ivo ivo.
Jinsia yko please
 
Mkuu usijali mimi mwenyewe niliwahi kuwa na demu wa aina hiyo bila kutumia nguvu hauli papuchi,nikajikuta na mimi nimezoea hali hiyo ni mwendo wa mitama tu [emoji28]ila mimi kwa wiki nilikuwa nakula mzigo mara 5 lkn sasa kwa mbinde
Kwa wiki mara 5 uyo si mke wako kabisa uyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…