Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

Naomba kujua aina ya maendeleo mnayojadili mkiwa pamoja.
 
Nikwambie kitu, huyo mwanamke hujawahi kumkojoza kiasi anaona sex kama kero.
 
Wakati wengine hio ndo inakuwa msg ya mwisho kujibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi kabisa huyo[emoji2][emoji2][emoji119][emoji119]
 
Kwa mwandiko wako!
maelezo yako!
Ushauri wako!
Hakuna mwanamke anaejielewa wa kukuvulia nguo wewe!
 
Nimeishia hapo uliposema kuwa anakujaga kwenye birthday yako . Mwanaume mzima unasherehekea birthday party
Bado hujakua we achana na mapenzi beti tu hakuna namna
 
Nimeishia hapo uliposema kuwa anakujaga kwenye birthday yako . Mwanaume mzima unasherehekea birthday party
Bado hujakua we achana na mapenzi beti tu hakuna namna
Mmh !! Bday ni sikukuu km zengine ila kwa mm apa shampen kek mwisho hamna kukod ukumbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…