Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

Wakati wengine hio ndo inakuwa msg ya mwisho kujibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnyama rikiboy toka utoe hitsong ya kula kwa masihara umepotea kinyama
 
Kujenga nyumba kumiliki biashara kubwa kuoana ikiwemo maswala ya uzazi kumilik gar nk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumiliki gari. Pole sana, mipango ya kimaendeleo panga na mkeo na sio mpenzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumiliki gari. Pole sana, mipango ya kimaendeleo panga na mkeo na sio mpenzi
Sasa 2 years relationship unaona sio mke uyo pili anachodai yy tujenge kwanza gar tutanunua baada ya kujenga na hicho unachpsema ni kwel kabisa mm huwa sipend kudiscuss maendeleo ya mpenz tatizo yy ndio anaanzisha
 
nasikia utam nasikia utam nasikia utam tam, aaaah, husikii utam husikii utam husikii utam tam, aaah

nasikia utam nasikia utam nasikia utam tam, aaaah, hausiki utaaaaam, nasikia utaaaaam
 
Em tuone venye ua unavutia ukiwa mwekundu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
''naomba kila mtu awe clear kunifuatilia maana ntaelezea in short kufupisha mada''

Ndio umeeleza kwa kifupi hapa? Ndio umefupisha mada ...???
 
Mkuu ebu fafanua kidogo mbona ni mcha Mungu sn yaan ibada ninkila jpili mwisho wa mwez na ckukuu zote lazima awe kanisan kuna siku huwa wanaalikwa nakanisa mengine na ni mwanakwaya mzur sn
Hio ni sifa Yao pia kuegemea kuwa ni wacha mungu au watu wanaosadia au kujihusisha na mambo ya jamii, watoto au wanajali sana kazi, Na hivyo vitu ni number moja kwao na Mwanaume na management ya ndani kwao ni vitu vya ziada tu. wanauwezo wa kusababisha maumivu ya ndani na ya taratibu sana kwa wanaume na mazara ni makubwa sana
 
Duh !! Hii dunia hii sasa tukimbilie wap kwa vicheche wanaojulikana au
 
Wakati wengine hio ndo inakuwa msg ya mwisho kujibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rick boyyyyyyyyy
 
mchagga ndio huwa hakupi mpaka muoane.
 
Shule unaanza kwenda lini? Mwaka huu matokeo yenu ya form four hayakuwa mazuri jitahidi u reseat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…