Hatakupenda sitamani, utamu wa mapenzi umekula kwangu mimi..nahama Dar kujikomoa

asee broo nimecheka asee bro love is wicked ino ukufwa muyao se ndifwa haa ila chamoto ndikuluwona muyao
<br />
<br />
Fya kubanya molofu elaa..wakimama vaigusa mbumunje elaa...wina ludali ino wihosa kiki....neng'ino ndilipa Kibao,ndib.h.ta kwi Ikwega...upasele?usage swate imbitu..wina uhulo,Ngukotola nene
 
ungeuliza course we c unafikiri bachelor yako ya sociology
Ufinyu mwingine wa kufikiri huo, akili yako inaamini mtu wa Sociology hawezi kupata 4.3? Hapa hakuna cha course wala nini, maelezo yako "yanareflect", ulivyo mweupe kichwani, unabisha kwa kuwa umeamua kubisha. Weka transcript/provisional result basi
 
biashara ya shule ndo imeisha hivyo
nenda kwenu kafanye kazi/biashara jitegemee
 
Ufinyu mwingine wa kufikiri huo, akili yako inaamini mtu wa Sociology hawezi kupata 4.3? Hapa hakuna cha course wala nini, maelezo yako "yanareflect", ulivyo mweupe kichwani, unabisha kwa kuwa umeamua kubisha. Weka transcript/provisional result basi

Mkuu nilianza kuhisi hapa kuna harufu ya majigambo toka mwanzo na kujitapa kwingi maana story yake na masuala ya GPA haikuwa na muunganiko
 
Mkuu nilianza kuhisi hapa kuna harufu ya majigambo toka mwanzo na kujitapa kwingi maana story yake na masuala ya GPA haikuwa na muunganiko
Umeona eeh sijui kila mtu akitaja matokeo yake itakuwaje? Athibitishe kwa maandishi basi kama hilo ndilo lilikuwa lengo la thread...!
 
Umeona eeh sijui kila mtu akitaja matokeo yake itakuwaje? Athibitishe kwa maandishi basi kama hilo ndilo lilikuwa lengo la thread...!

Mengi anayoyaongelea hayaendani na msingi wa topic yake ila kwa kuwa anataka waambie watu kuwa alipata GPA ya 4 na sijui alikuw akipanga sana wakati akiwa alevel
Sasa ukiangalia na suala ya kuachwa na mpenzi au kubwagwa hakuna uhuisiano hata kama alimsaidia huyo dada shule hayo ni yao
 
Du ulishakua bushoke sasa unamkomoa huyo dada kwa kwenda kijijini! na umesoma kufuta ujinga mbona bado unaonyesha ukuufuta? Hey come-on chapa mzigo mwanaume ni kichwa sio mkia!
 
<br />
<br />
POINT!!
 
The Only, hivyo ili ndivyo walivyo mabinti ni wapuuzi sana na ushukuru ulikuwa hauchunwi... piga moyo konde anza maisha kivyako muondoe kichwani kabisa huyo shori....
 

sasa wewe ulitakaje, aende na wewe hadi anakoenda kuolewa? sasa umelelewa unalia hivyo je ingekuwa ni wewe ndio uliekuwa unalea halafu mwishowe uambiwe kwaheri mimba si yako na naolewa je ungejinyonga? (maana wahehe kwa kusema 'swela helaa' halafu unatafuta mlegesi unajitumbika!!!) chapa lapa endelea na maisha, halafu graduate unaenda nyororo kijiji kufanyaje>??? kujiajiri au???
 
Pole move on ndio mambo ya mahusiano cku hizi,wanawake wapo juuuu!!!!!
 
Aisee pole sana jomba kwa kuvamia mapenzi...Ila usihofu kuvurugika kwa mapenzi ni mwanzo wa mapenzi mapya.
 
Ngoma droo, pesa kwa GPA! Yaani kwa haraka haraka tu hapo mtu mzima unajiongeza wala hakuna haja ya kulalamika. Kwanza shukuru huyo alikuwa anakuhonga, ingekuwaje kama na pesa mngekuwa mnatumia za kwako? Sijui wangekuokotea wapi wewe!
 
Nashukuru wachangiaji wote naomba nifunge mjadala .tukafanya maendeleo .
 
Yaani mapenzi ndio yanakukimbiza Dar na wewe hebu jipange upya kimaisha kwani umeambiwa mwanamke yuko peke yake ?
hesabu hayo yalikuwa mapito katika maisha anza moja ..mikasa ya mapenzi ipo kibao wenzio wakikusimulia ya kwao utaona wako una ahueni
piga moyo konde
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…