#COVID19 HATARI: Hakuna Corona Tanzania linapokuja suala la mechi ya Simba na Yanga

#COVID19 HATARI: Hakuna Corona Tanzania linapokuja suala la mechi ya Simba na Yanga

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Nimefuatilia uhamasishaji wa mechi hizi za watani wa jadi (Ile iliyopita juzi juzi) na hii inayofanyika Jumapili hii kule Kigoma.

Maswali ni mengi kuliko majibu linapokuja suala la jukumu la Serikali kupitia Wizara ya Afya/Habari na michezo/BMT/TFF kuhamasisha wananchi wajikinge na hili janga la Corona.

Ni hataree tupu.
 
Back
Top Bottom