Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Jamani,kwa wale vijana ambao hawajaoa bado,nawatahadharisha juu ya kuoa mabinti kutoka vyuo vikuu(wasomi).
Kwa uchunguzi nilio fanya wadada wengi{si wote} wa vyuoni au wenye elimu kubwa wana dharau,jeuri na kiburi mno!
Wengi wao hawafai kuwa wake kwa kweli!Kwa hiyo vijana muwe makini kuoa huko!
USIJE JIKUTA UNAPANGIWA HATA ZAMU ZA KUNANIHII NA MKEWE!!!
ANGALIZO:SISEMI KWAMBA WASOMI WASIOLEWEW,BALI UMAKINI KTK UCHAGUZI
NAWASILISHA.
Jamani,kwa wale vijana ambao hawajaoa bado,nawatahadharisha juu ya kuoa mabinti kutoka vyuo vikuu(wasomi).
Kwa uchunguzi nilio fanya wadada wengi{si wote} wa vyuoni au wenye elimu kubwa wana dharau,jeuri na kiburi mno!
Wengi wao hawafai kuwa wake kwa kweli!Kwa hiyo vijana muwe makini kuoa huko!
USIJE JIKUTA UNAPANGIWA HATA ZAMU ZA KUNANIHII NA MKEWE!!!
ANGALIZO:SISEMI KWAMBA WASOMI WASIOLEWEW,BALI UMAKINI KTK UCHAGUZI
NAWASILISHA.:washing:
This message has been deleted By Eliyah
Hakuwa serious....alikuwa anacheza kidali po!
Jamani,kwa wale vijana ambao hawajaoa bado,nawatahadharisha juu ya kuoa mabinti kutoka vyuo vikuu(wasomi).
Kwa uchunguzi nilio fanya wadada wengi{si wote} wa vyuoni au wenye elimu kubwa wana dharau,jeuri na kiburi mno!
Wengi wao hawafai kuwa wake kwa kweli!Kwa hiyo vijana muwe makini kuoa huko!
USIJE JIKUTA UNAPANGIWA HATA ZAMU ZA KUNANIHII NA MKEWE!!!
ANGALIZO:SISEMI KWAMBA WASOMI WASIOLEWEW,BALI UMAKINI KTK UCHAGUZI
No research, no right to speak. Tupe credentials, research, statistics, methodology na previous peer review.
Mi kuna mmoja anapiga PhD yake namfuatilia, katulia kuliko most of these chickenheads.
Muhimu uwe na Daktari wako mwenyewe nyumbani.