taarifa zimeshafika TBS na kwa kemia mkuu ili kushughulikia lkn ni bora tukawa n tahadhari mapema.
ahsante sana ila naamini umepata meseji husika waambie na wengine.
Isn't bussiness competition marnuvourers?
Huenda ikawa kweli, wapi TBS?
Ahsante kwa taarifa mamy. Uzungu huu! Ngoja nirudi kwenye vitambaa na wanangu mwendo wa nepi tu.
Ndahani sijui but cha kufanya ni sisi kupana taarifa kisha kuzikwepa basi manake hadi usubiri waanze kutrace nania kaingiza ni leo na waweza kukuta hata package wakabadili. am confused but i will let you know ikoje.TBS, are they that quick in responding?
i is not business competiton ila sijui labda wanatengeneza weapon of man destruction manake imeua kweli na wanakufa kwa dysfunctional bleeding manake wanakuwa attacked na bacterial infection ambayo baada ya masaa kadhaa kuzitumia say 12 damu nyigi iloganda inatoka ikiwa accompanied na maumivu makali kibya zaid package yake ni nzuri sana na ukiziona ni nzuri kwa sura.
Ndahani sijui but cha kufanya ni sisi kupana taarifa kisha kuzikwepa basi manake hadi usubiri waanze kutrace nania kaingiza ni leo na waweza kukuta hata package wakabadili. am confused but i will let you know ikoje.
Ndahani sijui but cha kufanya ni sisi kupana taarifa kisha kuzikwepa basi manake hadi usubiri waanze kutrace nania kaingiza ni leo na waweza kukuta hata package wakabadili. am confused but i will let you know ikoje.
Lakini mkurugenzi kagaragazwa kwahiyo labda wameamka
kama wameambiwa wakadharau is up to them to face the music.